Natafuta mwanamke wa kunizalia

Hujasema atakayekuzalia atapata nini
 
We chekelea mshikaji wangu. Taifa likiwa na watu milioni moja wa hivi,unategemea nini? Si kajianika mwenyewe! Hapa mzazi anajiproud kuwa ana mtoto! Kwamba ukoo utaona fahari kuwa na mwanaume! Kumbe hamna kitu! Bora dada zake

we dada ako anaweza mtia mimba mtu??

mbona kama una homornal imbalance mkuu huwezi kua una kasirika kasirika hovyo kama uko period!!…
kosa langu ni kusema sihitaji ndoa !!

KWAIYO MTU AKISEMA UKWELI NI ADUI!! siitaji ndoa
 
Kwani mkuu unaumia nini? mi n mwanao? ndugu yako?? mbona unawashwa kama unatafuta bwana!!

We kama uliona uzi haukuhusu ungekausha! Kila mtu ana malengo yake mjini
Basi,malengo yako hayajatimia,badili gia angani,pewa mimba uzae na wewe. Mwanangu awe kilaza kama wewe!!!! Undugu na lijitu lisilo na akili? Ndio namtafuta na asiwe mme wa mtu. Njoo
 
Mi kuna wanawake kama 9 hivi nishakutana nao wako financial stable hawahitaji ndoa wanahitaji watoto tu… sasa we kudhani kila mtu ana ndoto ya kuolewa ni makosa makubwa sana unaifanyia akili yako
Kweli wapo ila hao wengi wao wamekosa wanaume wanaowatamani. Wameshajaribu sana kuwateka wanaume hao, wanaishia kupigwa matukio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…