BabuMkubwa
JF-Expert Member
- Feb 11, 2017
- 2,417
- 3,590
Umenifanya nicheke kwa sauti wakati nipo pekee yangu, dah.Mkipata pesa kidogo tu mnaanza kutuona kama ma incubator sio…sheeeyyynz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenifanya nicheke kwa sauti wakati nipo pekee yangu, dah.Mkipata pesa kidogo tu mnaanza kutuona kama ma incubator sio…sheeeyyynz
kwahiyo umeanza biashara ya kuzalisha watoto ili uongeze idadi ya single mothers mtaani si ndio?Mwanamke awe na umri kuanzia miaka 20 na kuendelea. Asiwe na akili ya kitoto awe n muelewa ambaye tunaweza panga jambo akaelewa na akafuata.
Makubaliano
- Nitatunza mtoto
- Nitahudumia
- Mtoto hata ruhusiwa kubambikiziwa baba mwingine
- Hakuna kuoana mi na mtu wangu
- Unaruhusiwa kuendelea na maisha yako baada ya hapo
Vigezo vingine
- Asiwe mke wa mtu
- Awe single mother au msichana sawa tu
- Aweze kutunza siri
Ana kasoro kwenye akili yake, ana IQ ndogo sana.Na kama hana kasoro ??? utaripa fidia
Basi,malengo yako hayajatimia,badili gia angani,pewa mimba uzae na wewe. Mwanangu awe kilaza kama wewe!!!! Undugu na lijitu lisilo na akili? Ndio namtafuta na asiwe mme wa mtu. Njoo
Balaa lingine hiloWewe mweñyewe una akili ya kitoto na unataka mtu asiye na akili ya kitoto.
Huwezi kupata binti wa miaka 20 asiye na akili ya kitoto. Naona watoto mnatafutana
Punguza kejeli.Duh! Maadili hakuna,hekima hamna,akili ndo sufuri kabisa. Ila ilemu ya ngono yenyewe una degree. Mwanamke wa kumzalisha! Af umuache! Una mtu wako!
1. Kama kweli yupo hakuridishi!? Au ndo hujielewi.
2. Baada ya kugundua huna akili hata kidogo,inaonekana hata kukutana nae keshakataa.
3. Ungekuwa na uwezo wa kulea,ungekuwa na wa kukuzalia.
Sasa si bora ukabebe mimba uzae wewe? Mpaka umekosa wa kumzalisha,ina maana una vinasaba vya kikekike,na akili za kikekike, zaa wewe
Sema mkuu umeshindwa kabisa kufanya njia ya artificial hospitalini? Ndo njia rahisi zaidi na haina madhara , unajipiga puchu, manii zako zinakusanywa, nafikiri suitors wanakuwepo palepale, unamlipa mojawapo then anabeba mimba for 9 months, anazaa anakaa na mtoto mwaka mmoja, safari imeishia hapo .Sema ukweli we unataka unizalie sasa ukiwaza huna UTERUS unazidi kupata hasira[emoji3][emoji3]ntamtafuta dada ako
Situation gan weka waz hakuna anaekujua humuNimeamuwa kuwa mkweli sihitaji kuoa!! Niko na situation
I feel your pain, relax, trust in God kama ukipigwa tukio, relax, trust in God , ishi kama Mungu anavyotaka, atakuletea tu yule anayefanana nawe.Nimeamuwa kuwa mkweli sihitaji kuoa!! Niko na situation
Huyo dada utampata wapi? Mpaka unajirusha mtandaoni kueneza kuzidiwa na mawazo ya ngono zembe,wengine wanahangaikia maendeleo.Sema ukweli we unataka unizalie sasa ukiwaza huna UTERUS unazidi kupata hasira[emoji3][emoji3]ntamtafuta dada a
Haya,tuonyeshe mada yako humu kwa kila mtoto ukitangaza kuhitaji wa kuzaa nae? Ulichiti mkeo au mpenzi wako ili uzae?Punguza kejeli.
Nina watoto na sijao, nawatunza vizuriii na kila likizo wapo kwangu.
Hii December nawasubiri
#YNWA
Si uje ujaribu?! Utajuaje uwezo huo anao hujaijia!
Haya,tuonyeshe mada yako humu kwa kila mtoto ukitangaza kuhitaji wa kuzaa nae? Ulichiti mkeo au mpenzi wako ili uzae?
wa mjini P2 na MISO zishaondoa kizazi siyo ?👍. Ila nakushauri nenda vijijini upate wenye rutuba mkuu. 😁View attachment 2809794
Nenda kwa Mparange wapo.sasa akicheat we inakuhusu nini!?? uko kitengo cha kusimamia uaminifu??
Mbona ww una shida ya mirija ya uzazi hatujakusumbua
Huyo dada utampata wapi? Mpaka unajirusha mtandaoni kueneza kuzidiwa na mawazo ya ngono zembe,wengine wanahangaikia maendeleo.
Nakuzaliaje?! Kama unaweza kumcheat unaemuita mutu wako,uwezo wa kulea utakua nao wewe? Nigesema una pepo,ila inaelekea we mwenyewe ni pepo. Tena la kihuni haswa
Kauomba msaada wa usemaji?sasa akicheat we inakuhusu nini!?? uko kitengo cha kusimamia uaminifu??
Mbona ww una shida ya mirija ya uzazi hatujakusumbua
Nenda kwa Mparange wapo.
Njoo basi. Ukikosa wa kumzalisha,si unapata wa kukuzalisha?we mchumba punguza makasiriko !! Tatua matatizo yako