Natafuta mwanamke wa kuoa aliyekuwepo morogoro au mpanda ili niweze kuhama

Natafuta mwanamke wa kuoa aliyekuwepo morogoro au mpanda ili niweze kuhama

Wanawakee waajiriwa mlioko sehemu husika, mkuje hapaaa kuna fursaaa yenuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja na mimi nitafute miguu ya kukupata mshabiki wa Simba hii mbinu ya Tamisemi ya kitambo mno..
 
Wakuu kama kuna mwanamke hapa mwajiriwa aliyepo morogoro au mpanda nifunge nae ndoa ili niweze kuhama huku niliko wilaya ya pangani mkoa wa Tanga mimi ni muajiriwa sekta ya Afya maana huku niliko nahisi nitakufa masikini kwa kujitakia!Tafadhalini ajitokeze PM iko wazi......
Pangani pakoje?
 
Ngoja niweke Kambi apa nisome mapovu nikimaliza nichukue nikafulie nguo zangu mie🤭🤭
 
Wakuu kama kuna mwanamke hapa mwajiriwa aliyepo morogoro au mpanda nifunge nae ndoa ili niweze kuhama huku niliko wilaya ya pangani mkoa wa Tanga mimi ni muajiriwa sekta ya Afya maana huku niliko nahisi nitakufa masikini kwa kujitakia!Tafadhalini ajitokeze PM iko wazi......
wa dodoma hutaki?
 
Wakuu kama kuna mwanamke hapa mwajiriwa aliyepo morogoro au mpanda nifunge nae ndoa ili niweze kuhama huku niliko wilaya ya pangani mkoa wa Tanga mimi ni muajiriwa sekta ya Afya maana huku niliko nahisi nitakufa masikini kwa kujitakia!Tafadhalini ajitokeze PM iko wazi......
Ndoa kuhama!!! Unahis mfano ulifanikiwa kuhama Kwa iyo ndoa kuhama ,upendo wako utakuwepo ? Maana ndoa it's all about love!!! Sasa ww ukimpata mtu hapa mpanda akafanya ukaja hapa mpanda ,mtaendelea kupendana?
 
Ndiyo
Ndoa kuhama!!! Unahis mfano ulifanikiwa kuhama Kwa iyo ndoa kuhama ,upendo wako utakuwepo ? Maana ndoa it's all about love!!! Sasa ww ukimpata mtu hapa mpanda akafanya ukaja hapa mpanda ,mtaendelea kupendana?
 
Back
Top Bottom