Natafuta mwanamke wa kuoa aliyekuwepo morogoro au mpanda ili niweze kuhama

Natafuta mwanamke wa kuoa aliyekuwepo morogoro au mpanda ili niweze kuhama

Kwanin unahama kutoka tanga kwenda morogoro Kwan dar es salaam hupataki?
 
Tufanye hiviiii.....tuingie mkataba ndoa yetu ya kiserikali chaaap ukipata uhamisho talaka yangu mara 1.
Njoo na donge nono tufanye kazi😀
 
Back
Top Bottom