Natafuta mwanamke wa kuoa aliyekuwepo morogoro au mpanda ili niweze kuhama

Wanawakee waajiriwa mlioko sehemu husika, mkuje hapaaa kuna fursaaa yenuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja na mimi nitafute miguu ya kukupata mshabiki wa Simba hii mbinu ya Tamisemi ya kitambo mno..
 
Pangani pakoje?
 
Ngoja niweke Kambi apa nisome mapovu nikimaliza nichukue nikafulie nguo zangu mie🤭🤭
 
wa dodoma hutaki?
 
Ndoa kuhama!!! Unahis mfano ulifanikiwa kuhama Kwa iyo ndoa kuhama ,upendo wako utakuwepo ? Maana ndoa it's all about love!!! Sasa ww ukimpata mtu hapa mpanda akafanya ukaja hapa mpanda ,mtaendelea kupendana?
 
Ndiyo
Ndoa kuhama!!! Unahis mfano ulifanikiwa kuhama Kwa iyo ndoa kuhama ,upendo wako utakuwepo ? Maana ndoa it's all about love!!! Sasa ww ukimpata mtu hapa mpanda akafanya ukaja hapa mpanda ,mtaendelea kupendana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…