Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Ngoja na mimi nitafute miguu ya kukupata mshabiki wa Simba hii mbinu ya Tamisemi ya kitambo mno..Wanawakee waajiriwa mlioko sehemu husika, mkuje hapaaa kuna fursaaa yenuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tanzania ni yetu wote, abakie huko huko🤣🤣Anataka Mke apate uhamisho...😀😀😀😀
Anasaidikaje?
Sasa mie sija ajiriwa eti jamanii, sa itakuajee hapoo?Ngoja na mimi nitafute miguu ya kukupata mshabiki wa Simba hii mbinu ya Tamisemi ya kitambo mno..
Mara nyingi mwanamke akishaolewq hapo panakuwa na consideration ya kupewa uhamisho wa kumfuata mme wake.Lakini hii ya mwanaume akioa halafu aombe uhamisho kumfuata mke mmmh.
Sihitaji ajira aisee mbona nimenyoosha maelezo vizuri ningetaka ajira si ningeomba utumishi au Tamisemi huko..Sasa mie sija ajiriwa eti jamanii, sa itakuajee hapoo?
Pangani pakoje?Wakuu kama kuna mwanamke hapa mwajiriwa aliyepo morogoro au mpanda nifunge nae ndoa ili niweze kuhama huku niliko wilaya ya pangani mkoa wa Tanga mimi ni muajiriwa sekta ya Afya maana huku niliko nahisi nitakufa masikini kwa kujitakia!Tafadhalini ajitokeze PM iko wazi......
wa dodoma hutaki?Wakuu kama kuna mwanamke hapa mwajiriwa aliyepo morogoro au mpanda nifunge nae ndoa ili niweze kuhama huku niliko wilaya ya pangani mkoa wa Tanga mimi ni muajiriwa sekta ya Afya maana huku niliko nahisi nitakufa masikini kwa kujitakia!Tafadhalini ajitokeze PM iko wazi......
Oma sehemu gani? Niconnectie nae aisee imradi niondoke tu huku Tangawa dodoma hutaki?
Kwa mimi sipaelewi hata kidogoPangani pakoje?
Shida yk ni UHAMISHOIkawe kheri kwako, upate hitaji la Moyo wako.....🐒
Ndiyo mkuuShida yk ni UHAMISHO
Unakotaka kuhamia una pajua kwani? Au ndo usipo paelewa uta taka kuhama tena.Ndiyo mkuu
Sasa si ungefungua uzi kuomba msaada wa kuhama kutoka Tanga kwenda Mpanda 😅 na sababu uka waandikia, kero unayo iona pangani . Ukapata mawazo mapyaNdiyo mkuu
Ndoa kuhama!!! Unahis mfano ulifanikiwa kuhama Kwa iyo ndoa kuhama ,upendo wako utakuwepo ? Maana ndoa it's all about love!!! Sasa ww ukimpata mtu hapa mpanda akafanya ukaja hapa mpanda ,mtaendelea kupendana?Wakuu kama kuna mwanamke hapa mwajiriwa aliyepo morogoro au mpanda nifunge nae ndoa ili niweze kuhama huku niliko wilaya ya pangani mkoa wa Tanga mimi ni muajiriwa sekta ya Afya maana huku niliko nahisi nitakufa masikini kwa kujitakia!Tafadhalini ajitokeze PM iko wazi......
Ndoa kuhama!!! Unahis mfano ulifanikiwa kuhama Kwa iyo ndoa kuhama ,upendo wako utakuwepo ? Maana ndoa it's all about love!!! Sasa ww ukimpata mtu hapa mpanda akafanya ukaja hapa mpanda ,mtaendelea kupendana?
njoo inboxDod
Oma sehemu gani? Niconnectie nae aisee imradi niondoke tu huku Tanga
Umeshawahi fika Mpanda?Mpanda ni bora kuliko pangani???