Natafuta mwanamke wa kuoa

Awe mwanamke mzuri na mwenye hofu ya Mungu
Hapa ndio mnakoseaga, we unapata mtu anakwambia ana hofu ya Mungu na hana bikira. Au mwanaume anasema ana hofu ya Mungu unampa tunda wala haulizi lipo wapi. Ilitakiwa first date mnaulizana IKO WAPI SIIONI, anakwambia TAFUTA TU HUKO HUKO.
 
Wale warembo wa hapo mafiat wamekuchosha ?
Uliambiwa wanawake wa kutafutia kwenye mitandao ndio wenye maadili?
Hivi kwa akili yako unaweza kuoa mwanamke hujui Kama amezaa, ameachwa, ana UTI sugu, au Ni OSU au hata aliyeolewa na bwege Fulani halina habari nae kwa tabia mbaya.
Ukimpata ambaye Ni bikra mitandaoni njoo nikupe vocha wiki nzima.
 
Nenda kwa wale wanawake wanaojiuza
Jaribu kuongea nao...atakaye kubali umuoe atakuwa anamaanisha.
Hakika wanayajua maisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…