Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
😃😃😃Hata mimi nilikumissi sanaa ephen.wengi wameniulizia sana wakawa wanasema umetoka wapi nikawaambia ephen.wakasema ndio wapi huko nikasema ephen. Wakashindwa kuelewa chochote maana hawaelewi ndio wapi huko ephen 😃😃😃😃😂Lucas unanivunja mbavu zangu
Unajua leo nilikumiss! Kila nikichungulia sikuoni ukikua wapi?