Natafuta mwanamke wa kuoa

Natafuta mwanamke wa kuoa

Kijana kuwa makini, la SIvyo uta uponza ulimi😁.
Shukuru Leo no mdogo wake na Analyse ana kuonya.

Ila akija Analyse mwenyewe, lazima upigwe ngumi Hadi upate homa 🤣🤣
Nipo tayari kwa lolote lakini kwa ephen nipo tayari kufa kwa ajili yake na kukata kiu ya moyo wangu ambao kwake umetua. Mimi kwa ephen ni kama mkufu tu ambaye sijiwezi pasipo yeye kuwa karibu yangu.
 
Nipo tayari kwa lolote lakini kwa ephen nipo tayari kufa kwa ajili yake na kukata kiu ya moyo wangu ambao kwake umetua. Mimi kwa ephen ni kama mkufu tu ambaye sijiwezi pasipo yeye kuwa karibu yangu.
Hawakufikii kwa lolote
1.Una mahaba
2.Upo karibu na Raisi, Makonda
Siku ya harusi yetu viongozi wote wa Ccm watakuja🤸
 
Hawakufikii kwa lolote
1.Una mahaba
2.Upo karibu na Raisi, Makonda
Siku ya harusi yetu viongozi wote wa Ccm watakuja🤸
Msingi kiuno😂, naimani ume sikia story zetu Sana🤣.

Ukoo wetu uko vizuri, yaani kila kidume ana iweza shughuli 😂🤣
 
Back
Top Bottom