Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
😃😃😃Hata mimi nilikumissi sanaa ephen.wengi wameniulizia sana wakawa wanasema umetoka wapi nikawaambia ephen.wakasema ndio wapi huko nikasema ephen. Wakashindwa kuelewa chochote maana hawaelewi ndio wapi huko ephen 😃😃😃😃😂Lucas unanivunja mbavu zangu
Unajua leo nilikumiss! Kila nikichungulia sikuoni ukikua wapi?
☺️Unajua kunifurahisha! Kumbe wanyiha mna mahaba hivi!?😃😃😃Hata mimi nilikumissi sanaa ephen.wengi wameniulizia sana wakawa wanasema umetoka wapi nikawaambia ephen.wakasema ndio wapi huko nikasema ephen. Wakashindwa kuelewa chochote maana hawaelewi ndio wapi huko ephen 😃😃😃😃
Mimi ni wakipekee kabisa maana hata watu huwa wananishangaa.wemgine wakiwa na stress zao wakiniona tu wanapata tabasamu kwa maneno yangu .wengine hata kama walikuwa wanabubujikwa machozi unaona machozi yao yakikata ghafla utafikiri mshumaa uliozimwa ghafla. Mimi ni mcheshi ,mkarimu,mwenye upendo wa mshumaa,mwenye huruma, unyenyekevu,busara,adabu n.k.☺️Unajua kunifurahisha! Kumbe wanyiha mna mahaba hivi!?
Kiukweli hizo sifa unazo lucasMimi ni wakipekee kabisa maana hata watu huwa wananishangaa.wemgine wakiwa na stress zao wakiniona tu wanapata tabasamu kwa maneno yangu .wengine hata kama walikuwa wanabubujikwa machozi unaona machozi yao yakikata ghafla utafikiri mshumaa uliozimwa ghafla. Mimi ni mcheshi ,mkarimu,mwenye upendo wa mshumaa,mwenye huruma, unyenyekevu,busara,adabu n.k.
Wengine huniita ni Rais wa wananchi nisiye na vikosi vya jeshi. Wengine huniita mbunge wa wananchi. Wengine husema mtu wa watu.
Analyse Kaka hii pisi ina leta vurugu uswahilini😁🤣🤣.Intelligent businessman muite na huyo kaka ako aje aone ninavyopendwa na Luca wangu🤸😍
Braza men chunga hiyo tattoo, isije geuka kovu😂.Mimi nimechora tatuu ya jina lako ephen kuzunguka moyo wanguu😃😃😃😃
We bwege Nazi nazi??, raisi wa VICHAA labda🤣🤣.Mimi ni wakipekee kabisa maana hata watu huwa wananishangaa.wemgine wakiwa na stress zao wakiniona tu wanapata tabasamu kwa maneno yangu .wengine hata kama walikuwa wanabubujikwa machozi unaona machozi yao yakikata ghafla utafikiri mshumaa uliozimwa ghafla. Mimi ni mcheshi ,mkarimu,mwenye upendo wa mshumaa,mwenye huruma, unyenyekevu,busara,adabu n.k.
Wengine huniita ni Rais wa wananchi nisiye na vikosi vya jeshi. Wengine huniita mbunge wa wananchi. Wengine husema mtu wa watu.
Lucas Mwashambwa mpotezee huyu! Mimi na wewe👩❤️💋👨We bwege Nazi nazi??, raisi wa VICHAA labda🤣🤣.
Alafu achana na shemeji yangu, la sivyo bro Analyse ata kuvunja mbavu.
ephen ndio mboni yangu,ndio waridi wangu,ndio taa ya mwili wangu,ndio furaha yangu, ukiufunua moyo wangu unaukuta umejaa ephenWe bwege Nazi nazi??, raisi wa VICHAA labda🤣🤣.
Alafu achana na shemeji yangu, la sivyo bro Analyse ata kuvunja mbavu.
We mwenyewe una jua Kwa bro Analyse ume oza, ila sielewi labda huyu bwege Lucas Mwashambwa kaku roga😁😂🤣Lucas Mwashambwa mpotezee huyu! Mimi na wewe👩❤️💋👨
We jitie bingwa wa mashairi ya mapenzi, siku mi na bro Analyse tuki kushika, lazima tukupige nkwezi😂🤣ephen ndio mboni yangu,ndio waridi wangu,ndio taa ya mwili wangu,ndio furaha yangu, ukiufunua moyo wangu unaukuta umejaa ephen
Kwanza nipo serious! Sitaki umuite Lucas bwege sitaniiiWe mwenyewe una jua Kwa bro Analyse ume oza, ila sielewi labda huyu bwege Lucas Mwashambwa kaku roga😁😂🤣
haya maneno SI uli mwambia chambo wa wezi Analyse ??, na uka mshauri wizi sio kazi??.Unathubutu vipi kumpiga mkwara Raisi mtarajiwa?
Nataka niwe first lady kaa kwa kutulia
Lucas sio bwege bhana! Muite shemejihaya maneno SI uli mwambia chambo wa wezi Analyse ??, na uka mshauri wizi sio kazi??.
Ona Sasa uka mfanya bingwa wa wizi Analyse astaafu, halafu Leo una mwita bwege ka Lucas Mwashambwa Eti handsome 😂🤣😁
Siwezi na sahau hilo, hata unipe kazi, ni Bora nibakie bila kaziLucas sio bwege bhana! Muite shemeji
Tutumie jf kuenjoy🤸Ukisoma comments za awali utaona namna ambavyo bongo kuna raia zina stress...
Dalili namba moja ni kufoka pasipo sababu, na ya pili ni kutukana...