Natafuta Mwanamke wa kuzaa nae tu!

Natafuta Mwanamke wa kuzaa nae tu!

Nina 25 years, nimeajiriwa ni mrefu, mweupe kiasi nahitaji mwenyewe sifa zifuatazo:
19 to 32 years
Mweupe na beautiful
Mrefu kiasi
Sio mnene wala mwembamba sana
Mwenye dimpoz
Awe tayari kushiriki tendo
Mwenye kujua kulea mtoto


Nitamtunza kila kitu kuanzia ujauzito mpaka mtoto akifikisha 3 years nitatoa hela shillingi milioni tano cash
Sihitaji ndoa wala mahusiano

Kama una vigezo njoo pm au mshirikishe rafiki yako/dada yako
Unamimba?
 
Sawa utapata
Asante kwa kunipa
Apitie kwanza hii mada

Bloo nataka mtoto tu sitaki mahusiano na kiumbe chochote
 
Unaanzia wapi yaani,. Police au Mahakamani moja kwa moja au kwa mwajiri wao au wapi?
Ili ionekane kuna uzembe umefanyika lazima upeleke malalamiko kwa aliyekuwa msimamizi wa zamu wa ile siku, ukimkosa tafuta uongozi wa hiyo hospitali, ukiwakosa nenda wilayani mtafute mganga mfawidhi wa wilaya na ukiwakosa endelea kupandisha hadi mkoani ukiwakosa peleka shtaka polisi au mahakamani.
 
Wewe unatafuta matatizo ambayo utayajutia baadae utakapoona unaanza ku loose focus ya life!
Uzae nae kisha kila mtu ale hamsini zake ukituma matumizi tu sio kwa wanawake wa kibongo! hakuna rangi utaacha kuona.
 
Ili ionekane kuna uzembe umefanyika lazima upeleke malalamiko kwa aliyekuwa msimamizi wa zamu wa ile siku, ukimkosa tafuta uongozi wa hiyo hospitali, ukiwakosa nenda wilayani mtafute mganga mfawidhi wa wilaya na ukiwakosa endelea kupandisha hadi mkoani ukiwakosa peleka shtaka polisi au mahakamani.
ANha ok,.
 
Tumbili wa mjini anataka kuongeza tumbili mwingine mjini 😂

Una 25 years unatafuta mwanamke wa kuzaa nae ila awe "mweupe na beautiful"

Wewe ni nyege zinakusumbua.

Kaa chini utulie.

Ndio kwanza una 25yrs🙄.

Anyways hivi wakuu hakuna namna mtu anaweza kuwashitaki madaktari kwa kusababisha kifo cha mtu kwa uzembe?,.

25 yrs na bado huna akili

Unamimba?
Nyie wotee niliowa ""Quote"" punguzeni hasira na maisha ya mtu.
Mimi binafsi raisi wa kataa ndoa nilipata mtoto wa kwanza nikiwa na miaka 25
Na nimepata watoto wa mwisho (mapacha) nikiwa na miaka 34
Na sasa ni baba wa watoto wa 4 sina sina habari ya ndoa na sitaki ndoa.

Iko hivi ....
Kila mtu ma staili yake ya maisha na usilete dharau na matusi kwa life style ya mtu kisa hajafata life style yako

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Mtoto bila malez ya wazazi wawili sio kitu kizuri Kwa ustaw wa ukuajiwake kimwili kialkili na kisaikolojia jitahid sana uwape wanao zawadi Bora ya malezi
Umempa mimba msichana baada ya Miaka mitatu Mungu akakuchukua unajua kitachotokea?
Umempa mimba msichana akafariki wakat anajifungua unaweza kulipia gharama za uhai wake
So think twice kiafrika na kitanzania sio sawa Kwa mm ninavoona
 
Nyie wotee niliowa ""Quote"" punguzeni hasira na maisha ya mtu.
Mimi binafsi raisi wa kataa ndoa nilipata mtoto wa kwanza nikiwa na miaka 25
Na nimepata watoto wa mwisho (mapacha) nikiwa na miaka 34
Na sasa ni baba wa watoto wa 4 sina sina habari ya ndoa na sitaki ndoa.

Iko hivi ....
Kila mtu ma staili yake ya maisha na usilete dharau na matusi kwa life style ya mtu kisa hajafata life style yako

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Ok
 
Back
Top Bottom