kat.ph
JF-Expert Member
- Dec 19, 2013
- 2,222
- 1,678
"Nasubir PM bado!"
You are very young. Why do you want a kid now?? Fashion? Toy?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Nasubir PM bado!"
You are very young. Why do you want a kid now?? Fashion? Toy?
Sura ngumu za kike zina changamoto zake!! Binti mwenye sura ya babu yake hatapewa kipaumbele sema za ukweli!
Asije nizalia watoto nusu mtu nusu nyani!? Lol!
kaka tupia picha zako wakuone
Trust me! Mimi ni handsome kabisaa. Ila kasura kangu ni kakike kiaina. Ndo maana nataka such a cutte and belle woman tuone offspring yetu itakuwaje!?
uyu kijana sio mzima...nimeshamuelezea apo juu...this is so gay!!na ndio maana wana wake wanakuacha ur not a real man!!
28 umeanza mapenzi serious lini? . Umemizwa lini? . Na hadi afikie kukata tamaa
Sasa nazidi kuamini kuwa kuna vijana wengi wenye uwezo kabisa wa kiuchumi ila wanaogopa STRESS ZA NDOA.
Kichwa cha habari hapo juu chajieleza natafuta mwanamke wa kuzaa nae mtoto tu kisha jukumu la kumtunza mama na mtoto nitalibeba.
Ni kijana mwenye miaka 28, handsome, decent, humble, focused and hardwoking. Nina kazi serikalin mshahara wangu ni zaidi ya laki 8. Nina nyumba na gari.
Nimechoshwa na mapenzi ya kufake ya kibongo whoever interested aje PM then we can seal a deal then maandishi ya Ustawi wa jamii na mahakamani yatafuata.
Note; uzuri wa sura unanasisitizwa na utapewa kipaumbele zaidi.
Karibuni!
Kichwa cha habari hapo juu chajieleza natafuta mwanamke wa kuzaa nae mtoto tu kisha jukumu la kumtunza mama na mtoto nitalibeba.
Ni kijana mwenye miaka 28, handsome, decent, humble, focused and hardwoking. Nina kazi serikalin mshahara wangu ni zaidi ya laki 8. Nina nyumba na gari.
Nimechoshwa na mapenzi ya kufake ya kibongo whoever interested aje PM then we can seal a deal then maandishi ya Ustawi wa jamii na mahakamani yatafuata.
Note; uzuri wa sura unanasisitizwa na utapewa kipaumbele zaidi.
Karibuni!
Mkuu mimi nimekuelewa vizuri na sio wewe peke yako. Ni vijana wengi sana wamekata tamaa ya kuoa kutokana na stresses na matukio yaliyopo kwenye ndoa.
USHAURI: Mwombe mwenyezi Mungu akupe mke sahihi mtakaeelewana naye,usizuzuke na figure tu au sura...utakuja lia.
Kichwa cha habari hapo juu chajieleza natafuta mwanamke wa kuzaa nae mtoto tu kisha jukumu la kumtunza mama na mtoto nitalibeba.
Ni kijana mwenye miaka 28, handsome, decent, humble, focused and hardwoking. Nina kazi serikalin mshahara wangu ni zaidi ya laki 8. Nina nyumba na gari.
Nimechoshwa na mapenzi ya kufake ya kibongo whoever interested aje PM then we can seal a deal then maandishi ya Ustawi wa jamii na mahakamani yatafuata.
Note; uzuri wa sura unanasisitizwa na utapewa kipaumbele zaidi.
Karibuni!