Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Teh unanijua dada ako nilivyo mtulivu, sitokusumbua hata. Wewe nitumie tu nipate kapicha kakuweka kwenye wallet yanguHahaaaa utashindwa kujizuia bana utaanza kunisumbua, teh teh
Au aanza kucheki hiyo ya kwenye avatar yangu, japo hii ni ya longi sana
Teh unanijua dada ako nilivyo mtulivu, sitokusumbua hata. Wewe nitumie tu nipate kapicha kakuweka kwenye wallet yangu
Teh teh eeh naiweka kwenye wallet kabisa, nikikumiss naichungulia tu roho yangu kwatuuuuuuDuh uweke kwenye wallet tena!! okay basi check PM yako in 10min itakuwa huko tiyari, teh
Teh teh eeh naiweka kwenye wallet kabisa, nikikumiss naichungulia tu roho yangu kwatuuuuuu
Hautaki kumissiwa au? Changamka basi unitumie jiphoto hilo teh[emoji39] [emoji39]Mmh haya bwana!!
Hautaki kumissiwa au? Changamka basi unitumie jiphoto hilo teh[emoji39] [emoji39]
hapa kuna harufu flani ya mchele mchele!!
28 umeanza mapenzi serious lini? . Umemizwa lini? . Na hadi afikie kukata tamaa
Daa aisee!Asije nizalia watoto nusu mtu nusu nyani!? Lol!