Natafuta mwanamke wa kuzaa naye

Acha uoga wewe.
Walio kwenye ndoa ndo wanaongoza kwa kula mbususu kuliko ambao hawajaoa...waulize wenzako
Hajui ukishaoa tuu mbususu zinaanza kumwagika zenyewe, sijui kwa nini😂😂😂
 
Umewaza vema ukiendelea kua mvulana unaeweza badilikia upande wapili
 
Mimi nina 40+ wanasema bado mtamu....ingawa sipigi round nyingi lakini ukiona mwanamke anapoteza sauti au fahamu kwa muda wakati wa tendo ujue kitu na box
 
ungesema unahitaji wife

then akija, unabadili gear, tuanze ku-date

unamjaza fasta, kwa kuwa hutaki kuoa, unamuomba 'line pendwa'
hapa atavunja uhusiano haraka, ila tayari mtoto unaye

mi nilifanya hii trick ika-work, dogo ana miaka 4 sasa
 
ungesema unahitaji wife

then akija, unabadili gear, tuanze ku-date

unamjaza fasta, kwa kuwa hutaki kuoa, unamuomba 'line pendwa'
hapa atavunja uhusiano haraka, ila tayari mtoto unaye

mi nilifanya hii trick ika-work, dogo ana miaka 4 sasa
Akili kubwa sana....sasa itakuwaje kama akikupa na huo mtandao pendwa
 
Male 42, natafuta mwanamke wakuzaa nae japo na mie niitwe baba.

Huduma zote kuanzia mimba inapoingia mpaka kujifungua na malezi ya mtoto na mama yote juu yangu.

Mwanamke awe tayari kushika mimba kabla ya mwaka huu kuisha.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Da lejenti himself🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…