Natafuta Mwanaume mtu mzima ambaye yupo serious anayetaka kuoa

Usijali utapata... Mimi nilimpata humuhumu mpaka sasa sijaamini maana ni Almasi ya kipekee. Kila la Heri Mama Yeyooo..... Ndito Siangiki mtarajiwa
 
Mimi mtu mzima, ila sipo serious

Napita naenda zangu kwa mangi kununua mswaki, kiunoni nimepiga mkwiji wa taulo.
 
Honeytrap hii..hakuna lolote..laa una shida mahali..hakuna mwanamke mzuri anayekosa wanaume wa kumtongoza popote pale alipo..hakuna narudia tena hakuna..

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujaelezea ushatoa mimba ngapi au idadi ya watoto ulionao. Najua sio bikra.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…