BioPsychologist
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 724
- 1,018
Kila LA kheri dada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu huyo ni binti wa kimasai. Wengine tunajiandaa kuja kuchomeka mshale nje ya Gheto lako.Hizi sifa zote kama ninazo ivi
Njoo pm
Mimi ni Mwanadada naishi Kaskazini, kabila Langu ni Mmasai na nina umri ambao nitayari kuolewa nakuwa na mume. Sifa zangu mimi ni mpole na pia napenda kuwaheshimu watu wote.
Mimi ni muelewa na pia napenda nipate mtu ambaye anajiheshimu sana na anayetaka kutulia. Kweli nahitaji mtu mchapakazi napia muelewa sana. Naanayejieshimu sana na asiyependa matusi.
Namcha Mungu. Elimu atleast awe kapita O level
Awe mkimya micharuko sipendi.
Kingine nawatakia wakati mwema.
Mimi ni Mwanadada naishi Kaskazini, kabila Langu ni Mmasai na nina umri ambao nitayari kuolewa nakuwa na mume. Sifa zangu mimi ni mpole na pia napenda kuwaheshimu watu wote.
Mimi ni muelewa na pia napenda nipate mtu ambaye anajiheshimu sana na anayetaka kutulia. Kweli nahitaji mtu mchapakazi napia muelewa sana. Naanayejieshimu sana na asiyependa matusi.
Namcha Mungu. Elimu atleast awe kapita O level
Awe mkimya micharuko sipendi.
Nitafute 0755 144 754
Kingine nawatakia wakati mwema.