Natafuta Mwanaume mtu mzima ambaye yupo serious anayetaka kuoa

Natafuta Mwanaume mtu mzima ambaye yupo serious anayetaka kuoa

Mimi ni Mwanadada naishi Kaskazini, kabila Langu ni Mmasai na nina umri ambao nitayari kuolewa nakuwa na mume. Sifa zangu mimi ni mpole na pia napenda kuwaheshimu watu wote.

Mimi ni muelewa na pia napenda nipate mtu ambaye anajiheshimu sana na anayetaka kutulia. Kweli nahitaji mtu mchapakazi napia muelewa sana. Naanayejieshimu sana na asiyependa matusi.

Namcha Mungu. Elimu atleast awe kapita O level

Awe mkimya micharuko sipendi.

Kingine nawatakia wakati mwema.
 
Mimi ni Mwanadada naishi Kaskazini, kabila Langu ni Mmasai na nina umri ambao nitayari kuolewa nakuwa na mume. Sifa zangu mimi ni mpole na pia napenda kuwaheshimu watu wote.

Mimi ni muelewa na pia napenda nipate mtu ambaye anajiheshimu sana na anayetaka kutulia. Kweli nahitaji mtu mchapakazi napia muelewa sana. Naanayejieshimu sana na asiyependa matusi.

Namcha Mungu. Elimu atleast awe kapita O level

Awe mkimya micharuko sipendi.




Nitafute 0755 144 754


Kingine nawatakia wakati mwema.
 
Back
Top Bottom