Natafuta Mwanaume mtu mzima ambaye yupo serious anayetaka kuoa

Karibu sana Karibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jitahd utapata ila uwe makini tu na watu wa humu. Wapo ambao ni wastaarab na ukimpata unasema hakika Mwenyez Mungu amekutunuku lkn kuna wachache wanaharibu sifa ya umu. Kuwa makini sn mn wngne wapo kula tunda kimasihara. Wasijepoteza malengo yako.
 
Huu mwaka ni wangu. Semeni Amen.
 

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mdada mmasai ,.... By nature nyie ni ma wife material




Ayaaaa mabaria, muwe mnaona nawatu wa kuwachezea
 
Wanaume watu wazima wote wameoa na wana familia zao, na ikitokea umempata mtu mzima na hajaoa basi amini huyo mwanaume atakuwa na kasoro kubwa
AKUBALI SHIRIKA
awe mke wapili nitampa cheo nyumba kubwa badala ya ndogo
 
Mwanaume mtu mzima je umri kuazia up?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…