Natafuta mwanaume mwenye hali kama yangu

Natafuta mwanaume mwenye hali kama yangu

faithhope

Member
Joined
Sep 10, 2017
Posts
20
Reaction score
79
Mimi ni msichana wa miaka 25, ninaishi na virusi vya HIV, mkristo, ninasoma chuo naingia mwaka wa tatu. Natafuta mwanaume ikiwezekana baadae awe mume, awe mkristo, age kati 28-35, from Dsm, awe serious.

Kama uko tayari njoo pm
 
All the best mamy, Mungu akujalie hitaji la moyo wako.
Ila sio lazima awe na hali kama yako anaweza kuwa HIV negative lakini akawa tayari kuwa nawe mpaka ndoa,hivyo usiweke mpaka wa hitaji lako.
 
All the best mamy, Mungu akujalie hitaji la moyo wako.
Ila sio lazima awe na hali kama yako anaweza kuwa HIV negative lakini akawa tayari kuwa nawe mpaka ndoa,hivyo usiweke mpaka wa hitaji lako.
Umesema vyema.
 
Hii thread inanikumbusha JF ya miaka ya 2009/2010 iliyonifanya niifuatilie kama mgeni ambapo watu walikuwa washauri, watiaji moyo na wajuao kutenga mizaha na umakini kwa nyakati husika.

Michango japo sijaimaliza yote kusoma imenigusa na naamini imemfariji dada yetu. Hongereni wote mliotoa jumbe zenye upendo ndaniye.
 
Back
Top Bottom