Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu akupe hitaji lako kama utakavyoMimi ni msichana wa miaka 25,ninaishi na virus vya hiv,mkiristo,ninasoma chuo naingia mwaka wa tatu.natafuta mwanaume ikiwezekana baadae awe mume,awe mkristo,age btn 28-35,from dsm,awe serious.kama uko tayari njoo pm
Niwachache wenye kufanana na weweMimi ni msichana wa miaka 25,ninaishi na virus vya hiv,mkiristo,ninasoma chuo naingia mwaka wa tatu.natafuta mwanaume ikiwezekana baadae awe mume,awe mkristo,age btn 28-35,from dsm,awe serious.kama uko tayari njoo pm
Wengi wapo mkoa na wa dar hawako seeious
Aminaaa na asanteeWewe ni shujaa , endelea kusimama katika ukweli wako
Tafuta hata wa mkoani ambaye yupo serious.Wengi wapo mkoa na wa dar hawako seeious
Akiwa mkoa haamini kama una nia ya kweliiiTafuta hata wa mkoani ambaye yupo serious.
Wapo watu wengi tu wanadumu kwenye mahusiano kwa muda mrefu lakini wapo sehemu mbalimbali na watimiza ndoto zao za kuwa wanandoa.
Hapana.Akiwa mkoa haamini kama una nia ya kweliii
Haya rafikiiiHapana.
Jaribu kwanza usiogope kama jinsi ambavyo hujaogopa kusema ukweli hapa
Umesema vyema.All the best mamy, Mungu akujalie hitaji la moyo wako.
Ila sio lazima awe na hali kama yako anaweza kuwa HIV negative lakini akawa tayari kuwa nawe mpaka ndoa,hivyo usiweke mpaka wa hitaji lako.