yellow java
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 1,228
- 2,234
Kwenye watoto hapo kumenikosesha mke aisee...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya ni makasiriko na uhakika kuna kachaga kalibatua huo moyo😹😹😹😹Yaani we mshangazi wa kichaga unapanga kabisa na mwaka wa kuolewa yaani 2024?
By the time ukiwa unavutia ukiwa 20 to 25 ulikuwa wapi? Ulikuwa unachagua handsome? Now kwisha habari yako!
Maana elimu yako ni Diploma, so meaning kuwa sio shule ilikubana la hasha but now huna mwendo ndio unataka uolewe !
USHAURI WA BURE:
- Kwa kuwa wewe ni mchaga tena mshangazi acha u-selffish. Tabia hiyo hakuna mwanaume ataweza kuivumilia.
- usiwe chako ni chako na cha mume ndio chako, hapo hutaweza jenga familia ila utakuwa ki-u-selfish zaidi (chaga women behavior).
Mwisho, Mungu akupe wa kufanana nawe mshangazi wa kichaga
hapo ndio huwa nawapendea wanawake. ukishaona yupo tayari kwamba "awe na kazi yeyote", anakubali kuwa hata akiwa na mtoto fresh ila asiwe na zaidi ya mmoja, kabila lolote, jua tayari maji ya shingo. Mungu akusaidie upate mume.Habari za humu jf
Mm ni mwanamke umri 32yrs naishi Dsm natafuta mwanaume wa kunioa
Sifa zangu
Trible:Chagga
Elim Diploma
Kazi: Biashara ndogondogo
Dini:Mkristo Lutheran(KKKT)
Sina mtoto wala sijawah kuolewa, ninahofu ya Mungu, mpole, msikivu,mtulivu,rangi maji ya kunde (mweupe kwa mbali)sio mnene wala mwembamba pia sio mfupi wala mrefu(wastani)
Sifa za mwanaume
Umri kuanzia miaka 36 hadi 45 awe na hofu ya Mungu ,mkweli na mwenye upendo
Awe na shughuli yoyote ya kumuingizia kipato, akiwa na mtoto asizidi mmoja, kabila lolote , dini Mkristo ila sio Sabato zaid awe mpambanaji(mtafutaji)Karibu pm tuyajenge niko tayari kuwa mke.
Yaani wanawake wa kichaga ni nuksi sana . Anapokuwa anasaka pumziko la moyo unaweza sema ni malaika!Haya ni makasiriko na uhakika kuna kachaga kalibatua huo moyo😹😹😹😹
Specify wachaga wa wapi maana wapo wa Kirua,Marangu,Rombo,Machame,Hai,Kibosho unatuchanganya 😹😹😹😹😹Yaani wanawake wa kichaga ni nuksi sana . Anapokuwa anasaka pumziko la moyo unaweza sema ni malaika!
To me I consider Chaga woman like a toxic cancer!
Hawa viumbe wao wapo kimaslahi zaidi!
TEAM KATAA NDOA 💪💪
Mkuu Aaliyyah umemuambia kama waongeza mke huku??Dada punguza kigezo Cha umri, tuishi pamoja
Wachaga wote ni wale wale watu wa maslahi na roho korosho.Specify wachaga wa wapi maana wapo wa Kirua,Marangu,Rombo,Machame,Hai,Kibosho unatuchanganya 😹😹😹😹😹
Kilakitu kina wakat wake kadri Mungu anavopanga Kuna walioolewa mapema sana lkn sahiz wameshapeana talakaJua lipo magharibi ww nipe kitumbua nipige tu
Hivi nyinyi wa kkkt mna tatizo gani na wasabato?? Maana kuna mume hapa anasifa zoote utakazo tatizo ni msabatoHabari za humu jf
Mm ni mwanamke umri 32yrs naishi Dsm natafuta mwanaume wa kunioa
Sifa zangu
Trible:Chagga
Elim Diploma
Kazi: Biashara ndogondogo
Dini:Mkristo Lutheran(KKKT)
Sina mtoto wala sijawah kuolewa, ninahofu ya Mungu, mpole, msikivu,mtulivu,rangi maji ya kunde (mweupe kwa mbali)sio mnene wala mwembamba pia sio mfupi wala mrefu(wastani)
Sifa za mwanaume
Umri kuanzia miaka 36 hadi 45 awe na hofu ya Mungu ,mkweli na mwenye upendo
Awe na shughuli yoyote ya kumuingizia kipato, akiwa na mtoto asizidi mmoja, kabila lolote , dini Mkristo ila sio Sabato zaid awe mpambanaji(mtafutaji)Karibu pm tuyajenge niko tayari kuwa mke.
Wamekutenda vibaya snaa 😂😂😂Wachaga wote ni wale wale watu wa maslahi na roho korosho.
Ukiwa huna pesa waweza ambiwa uinuke kwa kiti ili iwekwe ndoo ya mbege.
😁😁😁😁aaah nimestuka vbaya sanaMkuu Aaliyyah umemuambia kama waongeza mke huku??
KaribuHabari za humu jf
Mm ni mwanamke umri 32yrs naishi Dsm natafuta mwanaume wa kunioa
Sifa zangu
Trible:Chagga
Elim Diploma
Kazi: Biashara ndogondogo
Dini:Mkristo Lutheran(KKKT)
Sina mtoto wala sijawah kuolewa, ninahofu ya Mungu, mpole, msikivu,mtulivu,rangi maji ya kunde (mweupe kwa mbali)sio mnene wala mwembamba pia sio mfupi wala mrefu(wastani)
Sifa za mwanaume
Umri kuanzia miaka 36 hadi 45 awe na hofu ya Mungu ,mkweli na mwenye upendo
Awe na shughuli yoyote ya kumuingizia kipato, akiwa na mtoto asizidi mmoja, kabila lolote , dini Mkristo ila sio Sabato zaid awe mpambanaji(mtafutaji)Karibu pm tuyajenge niko tayari kuwa mke.
Au sio inaonekana unahofu ya Mungu,Tuya jenge kitumbua muhimuKilakitu kina wakat wake kadri Mungu anavopanga Kuna walioolewa mapema sana lkn sahiz wameshapeana talaka
Hao ndo watu wa jf 😀😁😁😁😁aaah nimestuka vbaya sana