Natafuta mwanaume wa kunioa 2024

Haya ni makasiriko na uhakika kuna kachaga kalibatua huo moyo😹😹😹😹
 
hapo ndio huwa nawapendea wanawake. ukishaona yupo tayari kwamba "awe na kazi yeyote", anakubali kuwa hata akiwa na mtoto fresh ila asiwe na zaidi ya mmoja, kabila lolote, jua tayari maji ya shingo. Mungu akusaidie upate mume.
 
Yaani wanawake wa kichaga ni nuksi sana . Anapokuwa anasaka pumziko la moyo unaweza sema ni malaika!

To me I consider Chaga woman like a toxic cancer!

Hawa viumbe wao wapo kimaslahi zaidi!

TEAM KATAA NDOA πŸ’ͺπŸ’ͺ
Specify wachaga wa wapi maana wapo wa Kirua,Marangu,Rombo,Machame,Hai,Kibosho unatuchanganya 😹😹😹😹😹
 
Unajua kujieleza, btw sifa ni nzuri sana.
Ningekua na vigezo ningejongea pm.
 
Hivi nyinyi wa kkkt mna tatizo gani na wasabato?? Maana kuna mume hapa anasifa zoote utakazo tatizo ni msabato
 
Karibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…