Natafuta mwanaume wa kunioa 2024

Sifa za mwanaume
Umri kuanzia miaka 36 hadi 45 awe na hofu ya Mungu .
Hivi huwa mnamaanisha nini mnaposema 'hofu ya mungu'?
Awe na shughuli yoyote ya kumuingizia kipato.
Hapa naamini mwamba ikitokea amepata changamoto yoyote kwenye shughuli zake na kipato kikaanza kusua sua huo ndio unakua mwisho wa ndoa yenu. Hii ni red flag sijui kama utaweza mvumilia mwamba
 
 
Mchagga wa wapi? Picha?
 
Niko na age 31
 
Used tissue
 
Trible= Chagga πŸ™ŒπŸ™ŒπŸƒπŸƒπŸƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…