Natafuta mwanaume wa kunioa

Natafuta mwanaume wa kunioa

Sifa hizo bila picha, sawa na kuvaa dera ili hali chura haipo
 
Mungu Atakupa hitaji la moyo wako.
IMG_20210408_042548_758.jpg
 
Be realistic mrembo. Otherwise ni vizuri ukaanza kujichanganya na watu huko unapoishi.

Maswala tunaoana, alaf tukigombana kidogo tu utasikia "Najuta kutafuta mume mtandaoni"
 
Kwa alie tayari kwenda kwenye hatua hii.

Najua wengi mtajiuliza kama huko mtaani sikutani na wanaume,kwanza wanaume wapo wengi mtaani lakini kutokana na nature yangu mimi mizunguko yangu huwa ni kwenye shughuli zangu na kurudi home,ninao kutana nao wengi kwanza hawaamini kama nipo single na wengine ni waume za watu hivyo inanipa wakati mgumu naishia kubaki single

Umefika muda nataka kutulia kuwa mke kwa mume na mama wa familia,nitafurahi kama nikipata mtu mwenye interest hizo.Najua kuna wanaume wengi tu wapo tayari kuoa lakini kwenye circle yao hawaoni watu walio tayari kama ilivyo upande wangu

Naomba niweke vitu vya muhimu ambavyo ningependa muhusika awe navyo angalau
Vigezo

1)awe anaishi Dar preferably mikoa mingine long distance relationship ni tatizo,Dar atapewa kipaumbele zaidi

2) Awe na kipato stable cha kumudu familia yake,nikimaanisha kuanzisha familia isiwe mzigo kwake,au mpaka ajipange mtu ninae muongelea hapa ni ameshajipanga kuoa

3) Awe ni mtu ana utu na hofu ya Mungu,mkristu R.C Au K.K.T itapendeza

5) Mrefu asiwe chini ya 170cm

6) Ambae hana mtoto au kama ana mtoto mmoja akizidi mmoja ni changamoto haswa kama kwa mama wawili tofauti

7) Umri miaka 33 kuendelea

8) Awe mtafutaji amechangamka kuna wanaume wapo wamezubaa jamani,mtu anae ridhika na maisha kirahisi itakuwa changamoto maana mimi nipo sharp pia nikipata sharp mwenzangu tutaenda sawa

9) Awe na mpango wa kuoa mwaka huu,mimi si mtu complicated aina ya ndoa just a simple one,kama wote tuna nia moja kila mtu ameamua kutulia naamini inawezekana

Sifa zangu

Ni mrefu,maji ya kunde,umbo la wastani sio mwembamba sio mnene,umri miaka 27
Nimejiajiri
Sina mtoto
Mcheshi kiasi mkimya kiasi
Mengine tutaelewana tukishaongea Mungu akijalia huko PM
Mmeiona namba tano lakini?
 
Mungu akupe haja ya moyo wako lakini achana na hilo wazo la kufunga ndoa mwaka huu, kuwa makini usiwe na haraka ya namna hiyo haya mambo yanahitaji kwenda nayo taratibu.
 
Umeandika vizuri,Mungu akutanguliea kupata mume mwema...
 
Uwe mzuri tu,hicho ndo kigezo namba moja kwangu...
 
Back
Top Bottom