Natafuta mwanaume wa kuzaa nae

Kazi hiyo wakina kaka :-X:-X:-X:-X
 

mkuu hayo maneno ni ya busara mno laiti akiyatafakari atafuta huu uzi, taifa likiwa na asilimia kubwa ya watu wenye busara mfano wa hii katu hatuwezi angamia kwa ufisadi, sembe na uchafu wowote mwingine.
 
Tuwasiliane kwa mail hii nnayo solution ya tatizo lako,hebu imagine unalea mtoto wa kiarabu... andika kwa mail hii "mwarabu@rocketmail.com"
Mbegu ya kigaidi hii, achana nayo. Ni PM mamii nikupe Bonge la mbegu. Mimi Nina vigezo vyoote unavyotaka.
 
Nikizaa nitalea Mwenyewe, na yeye atabak kuwa Ba Mtoto na Mzaz mwenzangu ila Ngono baada ya kuzaa hapana, awe sura nzuri, Mrefu.
sasa sura nzuri ya nini wakati mkizaa kila mtu na time yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…