Kwa hilo nakutetea.Sijatega mtu rafik
Umem trap tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hilo nakutetea.Sijatega mtu rafik
Yawezekana kweli una pesa ila thamani huna na unajijua huna thamani.Wewe kaka kila mtu ana style yake ya kutafuta marafk, elimu inanilipa pesa inayonitosha wala sihitaji pesa ya mtu
Kwa hiyo unapenda kulewa kwa pesa za wanaume wenzako jaman, ninachojua walevi huwa wanakunywa kwa kushare kabisaa ila wale wanaonunuliwa pombe ndio huwa wanagongwa labda ndio tabia yako kununuliwaa rafkMashoga ndiyo mbinu zao hizo kumlewesha mtu ili yapigwe mkia.
Hawaji nimewaambia wakimbie tundazuri anataka kuwazuru😎Wanakuja...
Kwan wew n Ke au me?Ww utaninunulia na mm?
Sawa Bas uje kukesha G7 hapa nikuandalie na mizinga kadhaa ya nyagiLeo itakuwa ngumu, nitatoka kazi late sana, nina vimeo rafiki