Natafuta mwanume anaekunywa pombe awe rafiki

Natafuta mwanume anaekunywa pombe awe rafiki

This member limits who may view their full profile.

(ukiona hivi shtuka...)
Limits means kuna wanao view sio, baso na wewe unaweza kuwa mmoja wao kma ukitaka kuview
 
Walevi wenzangu kimbieni🏃🏃🏃🏃🏃🏃

Jiulizeni ana shida gani mpaka uone watu wasio na pombe hawawezi ku enjoy kampani yako hadi usake walevi wa watu?

Unanuka eeh?
Ushakua punga mzee eeh?
 
Wewe kaka kila mtu ana style yake ya kutafuta marafk, elimu inanilipa pesa inayonitosha wala sihitaji pesa ya mtu
Yawezekana kweli una pesa ila thamani huna na unajijua huna thamani.
Angalia vitu unafanya then jiulize pesa na elimu yako vina faida gani anko
 
IMG_4535.jpeg
 
Mashoga ndiyo mbinu zao hizo kumlewesha mtu ili yapigwe mkia.
Umejuaje, au ndio unafanyaga hivyo jamani, kila mtu analewa kwa pesa zake ukilewa ni wewe mwenyewe
 
Mashoga ndiyo mbinu zao hizo kumlewesha mtu ili yapigwe mkia.
Kwa hiyo unapenda kulewa kwa pesa za wanaume wenzako jaman, ninachojua walevi huwa wanakunywa kwa kushare kabisaa ila wale wanaonunuliwa pombe ndio huwa wanagongwa labda ndio tabia yako kununuliwaa rafk
 
Back
Top Bottom