Kwanini uchague waleviAcha makasiriko, kwani mwanaume hana marafiki, wewe nae
Sbb mtu akilewa hajui atendaloHao ndio rfk zangu jaman
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini uchague waleviAcha makasiriko, kwani mwanaume hana marafiki, wewe nae
Sbb mtu akilewa hajui atendaloHao ndio rfk zangu jaman
Dah mwanangu hapana Yan nitafute mzinzi mwenzangu watoto watakuwa katika malezi yapi mkuuUkiwa mlevi tafuta mlevi mwenzio..ukiwa mchamungu tafuta mchamungu mwenzio..ukiwa mzinzi tafuta mzinzi mwenzio n.k...Ngoja wajitokeze
Ukilewa usichati maana Badala ya kuandika neno nimefiwa🤣yatakukuta unaandika "nimefiliwa"Habari rafiki,
Kama kuna mwanaume anaependa kulewa au kunywa naomba awe rfk yangu, yaan napenda mwanaume mlevi sanaa napenda tu akilewa anavyoongea na anavyotukana yaan najisikia raha sanaa. Ni kwa urafiki tuu mimi nipo Dodoma kwa sasa. So karibu tubadilishane mawazo
Mlevi hana maamuzi sahihi.Una uhakika unachokisema, mtu akiamua kufanya jambo ni yeye mwenyewe kila mtu na starehe yake, acha kujidai unajua sanaa kuhukumu,
Una agenda ya siri.Si burebure tu uanze kupenda watu wanaolewa pombe,kuongeaongea bila kujihimili na kutukana matusi kama gunia saba.Habari rafiki,
Kama kuna mwanaume anaependa kulewa au kunywa naomba awe rfk yangu, yaan napenda mwanaume mlevi sanaa napenda tu akilewa anavyoongea na anavyotukana yaan najisikia raha sanaa. Ni kwa urafiki tuu mimi nipo Dodoma kwa sasa. So karibu tubadilishane mawazo
Ila Man U!!
Goal keeper katoka? Sasa lango litakuajeCamara yuleeee anaishilia kwenye kona kwa mbaaaaali.
Hapana kwa kweli, hata Yesu alikuja kwa ajili yao, lakini kila mahali wanatengwa na wanasemwa vibaya lakn ni watu wenye moyo mzr, ni kweli nilipata kazi nzr kupitia mlevi mmoja sitaki kusema isije ikatokea yupo humu, baada tu ya kumaliza masters yangu yeye ndiye aliyenisaidia,Una agenda ya siri.Si burebure tu uanze kupenda watu wanaolewa pombe,kuongeaongea bila kujihimili na kutukana matusi kama gunia saba.
Anhaaaa owkeiyy nimeshakonekt dots.😷😷😷😎😎😭Muache kwanza jaman yuko bz leo, nimemuacha anagonga supu ya kuku aingie job