Natafuta mwanume anaekunywa pombe awe rafiki

"Me" walevi angalieni msije ingia kwenye mfumo, you know what I mean😁.
Sihitaji msaada, mpaka nimeandika hv kuna kitu nimekifikiria sana juu ya hawa watu, mm nilisaidiwa kazi na mlevi mmoja nilivyomaliza zangu chuo nikawa nabangaiza
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi napiga gongo,vipi yenyewe ina shida?
 
Comments za huu uzi bhana, woiiiiih.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kumbe wewe ni mpunga kwenye kinu nilikua sijui kwahiyo huwa wanakutwanga🥶
 
Sema tu unataka ofa za pombe msimu wa sikukuu..
 
Naona walevi wanataka kutafuna mwanaume mwenzao. Pombe ni mbaya sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…