Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Ok mkuu kila la heriTumeachana na yupo kwenye mahusiano mengine kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok mkuu kila la heriTumeachana na yupo kwenye mahusiano mengine kabisa
Kwa maandishi haya anaonekana mstaarabu sana na ananyoosha mstari (Msimamo).Uzi umeandikwa kistaarabu sana
Kila la heri mkuu
Aya kakaMimi ni Mchaga wa Old-Moshi - Kidia
Mkuu achana kuoa tena kama kaondoka usijitafutie matatizo mengine ya moyo wanawake wana madhaifu mengi sana atatesa hao watoto kwanza most likely utapata singo maza ambae ni veteran wa mapenzi sio rahisi kwa umri huo taja kapata fresh woman.Habari wanajamii, natumaini mnaendelea vyema.
Mimi ni mwanamume mwenye umri wa miaka 38, naishi hapa Dar es Salaam.
Natafuta mwenza wa maisha mwenye malengo ya dhati na uhusiano wa muda mrefu.
Mimi ni Mkristo(Lutheran) ninapenda na ninathamini Mahusiano ya kuzingatia Heshima, Upendo wa Dhati na Maridhiano.
Ningependa kufahamiana na mwanamke mwenye umri wa kati ya miaka 25 hadi 35, anayejiheshimu, mwelewa, na mwenye mtazamo chanya wa maisha.
"Nikimpata Mchaga ntashukuru zaidi"
Nimejaliwa kuwa na watoto na ninaishi na wanangu.
Kama unadhani tunaweza kufahamiana zaidi, tafadhali niandikie ujumbe wa moja kwa moja (DM) au tuanze mazungumzo hapa.
Asanteni kwa muda wenu.
Natumaini kupitia nafasi hii nitakutana na mtu maalum na naomba wale wote wenye masihara wajiepushe na andiko hili.(Niko serious)
Pole na hongera mkuu.Watoto wanne(4)
Umesema kweli, hao watoto wajiandae kusulubiwa wanawake asilimia kubwa ni wakatili sana namshauri aishi na watoto wake tuMkuu achana kuoa tena kama kaondoka usijitafutie matatizo mengine ya moyo wanawake wana madhaifu mengi sana atatesa hao watoto kwanza most likely utapata singo maza ambae ni veteran wa mapenzi sio rahisi kwa umri huo taja kapata fresh woman.
Wana nn hao.....Mungu akujalie upate unachohitaji,ila machame na marangu chunga sana)
Warombo ni safi sana,ila hao ni balaaWana nn hao.....
Warombo the best ever @noahscribe
Wamefanya nn mama zangu 😝Warombo ni safi sana,ila hao ni balaa
Utakuja ujute kwanini hukubaki single
Yaani umeshauri umekaza utafikiri anaishi kwenye maisha yako, mwenzio kaona ana uhitaji wa kuoa wewe unasema aachane na kuoa, kwani yeye hajui huo umri ni wa maveterans?Mkuu achana kuoa tena kama kaondoka usijitafutie matatizo mengine ya moyo wanawake wana madhaifu mengi sana atatesa hao watoto kwanza most likely utapata singo maza ambae ni veteran wa mapenzi sio rahisi kwa umri huo taja kapata fresh woman.