Natafuta mwenza (Mchaga) wa maisha. Ninaishi hapa Dar es Salaam

Natafuta mwenza (Mchaga) wa maisha. Ninaishi hapa Dar es Salaam

Habari wanajamii, natumaini mnaendelea vyema.

Mimi ni mwanamume mwenye umri wa miaka 38, naishi hapa Dar es Salaam.
Natafuta mwenza wa maisha mwenye malengo ya dhati na uhusiano wa muda mrefu.

Mimi ni Mkristo(Lutheran) ninapenda na ninathamini Mahusiano ya kuzingatia Heshima, Upendo wa Dhati na Maridhiano.

Ningependa kufahamiana na mwanamke mwenye umri wa kati ya miaka 25 hadi 35, anayejiheshimu, mwelewa, na mwenye mtazamo chanya wa maisha.

"Nikimpata Mchaga ntashukuru zaidi"

Nimejaliwa kuwa na watoto na ninaishi na wanangu.

Kama unadhani tunaweza kufahamiana zaidi, tafadhali niandikie ujumbe wa moja kwa moja (DM) au tuanze mazungumzo hapa.

Asanteni kwa muda wenu.

Natumaini kupitia nafasi hii nitakutana na mtu maalum na naomba wale wote wenye masihara wajiepushe na andiko hili.(Niko serious)
Mkuu achana kuoa tena kama kaondoka usijitafutie matatizo mengine ya moyo wanawake wana madhaifu mengi sana atatesa hao watoto kwanza most likely utapata singo maza ambae ni veteran wa mapenzi sio rahisi kwa umri huo taja kapata fresh woman.
 
Mkuu achana kuoa tena kama kaondoka usijitafutie matatizo mengine ya moyo wanawake wana madhaifu mengi sana atatesa hao watoto kwanza most likely utapata singo maza ambae ni veteran wa mapenzi sio rahisi kwa umri huo taja kapata fresh woman.
Umesema kweli, hao watoto wajiandae kusulubiwa wanawake asilimia kubwa ni wakatili sana namshauri aishi na watoto wake tu
 
Mkuu
Watu wanakutakia tu kila la heri. Mbona hawasemi kama majimbo yapo😀?
Au wanakuja PM baada ya wishes
 
Mkuu achana kuoa tena kama kaondoka usijitafutie matatizo mengine ya moyo wanawake wana madhaifu mengi sana atatesa hao watoto kwanza most likely utapata singo maza ambae ni veteran wa mapenzi sio rahisi kwa umri huo taja kapata fresh woman.
Yaani umeshauri umekaza utafikiri anaishi kwenye maisha yako, mwenzio kaona ana uhitaji wa kuoa wewe unasema aachane na kuoa, kwani yeye hajui huo umri ni wa maveterans?
 
Back
Top Bottom