Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kibiroroni,kidia auOld-Moshi
Wachaga mnawezana,mimi nilioa huko kidia yule sio mke bali jambaziKIBORILONI
Ukijifanya unazo sisi tunakwapua tu 🤣🤣🤣🤣🤣Wachaga mnawezana,mimi nilioa huko kidia yule sio mke bali jambazi
Alinikwangua hadi nikabak na boksa tuUkijifanya unazo sisi tunakwapua tu 🤣🤣🤣🤣🤣
Bora jambazi huyu alinifirisi kwa kutumia akili tuPole sana Shemeji, kwani Ilikuwaje mkuu, yaani dada yetu alikuwa jambazi kweli kabisa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sema kwa umri nlionao mi naangalia tu utimamu wa akili ya mtu[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] miaka yangu 30's nianze kuchagua si nakufa bila historia ya ndoa kwenye historia ya marehemu itakuwa fupi mno
Alikuhurumia ulitakiwa uachwe na ngozi tu 😜😜😜Alinikwangua hadi nikabak na boksa tu