Natafuta mwenza (Mchaga) wa maisha. Ninaishi hapa Dar es Salaam

Natafuta mwenza (Mchaga) wa maisha. Ninaishi hapa Dar es Salaam

Mapenzi nayo yanachagua makabila kumbe😔
Kila binadamu ana mtazamo wake... naamini wewe pia unamtazamo wako kama ulivyoona Makabila hayahusiki, basi mimi naona Makabila yanahusika kwenye uchaguzi wa mwenza wa maisha.

Hata hivyo isije kuwa wewe umeegemea uchaguzi wa kutimiziana haja tu kwa muda mfupi...! Kama ndivyo ulilenga basi hapo hatuhitaji kuangalia KABILA wa DINI au hata LUGHA, yaan ni kukamatia na wewe kamata na wako.
 
Mapenzi nayo yanachagua makabila kumbe😔
Kila binadamu ana mtazamo wake... naamini wewe pia unamtazamo wako kama ulivyoona Makabila hayahusiki, basi mimi naona Makabila yanahusika kwenye uchaguzi wa mwenza wa maisha.

Hata hivyo isije kuwa wewe umeegemea uchaguzi wa kutimiziana haja tu kwa muda mfupi...! Kama ndivyo ulilenga basi hapo hatuhitaji kuangalia KABILA wa DINI au hata LUGHA, yaan ni kukamatia na wewe kamata na wako
 
Kila binadamu ana mtazamo wake... naamini wewe pia unamtazamo wako kama ulivyoona Makabila hayahusiki, basi mimi naona Makabila yanahusika kwenye uchaguzi wa mwenza wa maisha.

Hata hivyo isije kuwa wewe umeegemea uchaguzi wa kutimiziana haja tu kwa muda mfupi...! Kama ndivyo ulilenga basi hapo hatuhitaji kuangalia KABILA wa DINI au hata LUGHA, yaan ni kukamatia na wewe kamata na wako.
sema kwa umri nlionao mi naangalia tu utimamu wa akili ya mtu😄😄😄😄 miaka yangu 30's nianze kuchagua si nakufa bila historia ya ndoa kwenye historia ya marehemu itakuwa fupi mno
 
Watoto wanne?? Mmh mtihan Kwa kwel hapo uombe upate mwanamke mwenye upendo wa watoto lasvo kitaumana achana na kabila lako weka kigezo cha mwanamke mwenye upendo na watoto sisi wanawake ni visiran na roho mbaya ukwel usemwe tu
 
sema kwa umri nlionao mi naangalia tu utimamu wa akili ya mtu😄😄😄😄 miaka yangu 30's nianze kuchagua si nakufa bila historia ya ndoa kwenye historia ya marehemu itakuwa fupi mno
Kumbe hapo ni historia itakuwa fupi unahofia? Mmmmh
 
Habari wanajamii, natumaini mnaendelea vyema.

Mimi ni mwanamume mwenye umri wa miaka 38, naishi hapa Dar es Salaam.
Natafuta mwenza wa maisha mwenye malengo ya dhati na uhusiano wa muda mrefu.

Mimi ni Mkristo(Lutheran) ninapenda na ninathamini Mahusiano ya kuzingatia Heshima, Upendo wa Dhati na Maridhiano.

Ningependa kufahamiana na mwanamke mwenye umri wa kati ya miaka 25 hadi 35, anayejiheshimu, mwelewa, na mwenye mtazamo chanya wa maisha.

"Nikimpata Mchaga ntashukuru zaidi"

Nimejaliwa kuwa na watoto na ninaishi na wanangu.

Kama unadhani tunaweza kufahamiana zaidi, tafadhali niandikie ujumbe wa moja kwa moja (DM) au tuanze mazungumzo hapa.

Asanteni kwa muda wenu.

Natumaini kupitia nafasi hii nitakutana na mtu maalum na naomba wale wote wenye masihara wajiepushe na andiko hili.(Niko serious)
utapata kijana wangu, usikate tamaa
 
Habari wanajamii, natumaini mnaendelea vyema.

Mimi ni mwanamume mwenye umri wa miaka 38, naishi hapa Dar es Salaam.
Natafuta mwenza wa maisha mwenye malengo ya dhati na uhusiano wa muda mrefu.

Mimi ni Mkristo(Lutheran) ninapenda na ninathamini Mahusiano ya kuzingatia Heshima, Upendo wa Dhati na Maridhiano.

Ningependa kufahamiana na mwanamke mwenye umri wa kati ya miaka 25 hadi 35, anayejiheshimu, mwelewa, na mwenye mtazamo chanya wa maisha.

"Nikimpata Mchaga ntashukuru zaidi"

Nimejaliwa kuwa na watoto na ninaishi na wanangu.

Kama unadhani tunaweza kufahamiana zaidi, tafadhali niandikie ujumbe wa moja kwa moja (DM) au tuanze mazungumzo hapa.

Asanteni kwa muda wenu.

Natumaini kupitia nafasi hii nitakutana na mtu maalum na naomba wale wote wenye masihara wajiepushe na andiko hili.(Niko serious)
Hongera, lakini utapata unachokitaka😎, I hope utatuletea feedback
 
utapata kijana wangu, usikate tamaa
Naweza kuwa na mwenza wa kutokea kabila lingine pia, kwangu nimeonelea akiwa Mchaga mwenzangu nitampatia kipaumbele zaidi japokuwa sijawakataa makabila mengine
 
sema kwa umri nlionao mi naangalia tu utimamu wa akili ya mtu😄😄😄😄 miaka yangu 30's nianze kuchagua si nakufa bila historia ya ndoa kwenye historia ya marehemu itakuwa fupi mno
Anaye pumua tuu humuhitaji? Nipo hapa
 
Naweza kuwa na mwenza wa kutokea kabila lingine pia, kwangu nimeonelea akiwa Mchaga mwenzangu nitampatia kipaumbele zaidi japokuwa sijawakataa makabila mengine
ukitaka kua na furaha, pata kile moyo wako unahitaji (hitaji a moyo).

unataka mchaga mwenzio then usibadiri mawazo haraka, ikitokea kweli umekosa kabisa, basi unaweza badili mawazo, lakini for your happiness na ili uwe na amani get what u want kijana, cas nauhakika huezi kosa.
 
ukitaka kua na furaha, pata kile moyo wako unahitaji (hitaji a moyo).

unataka mchaga mwenzio then usibadiri mawazo haraka, ikitokea kweli umekosa kabisa, basi unaweza badili mawazo, lakini for your happiness na ili uwe na amani get what u want kijana, cas nauhakika huezi kosa.
Uko sahihi kabisa dada, naweza kuwa nshakupata wewe ni vile tu sijakabidhiwa rasmi.
 
Back
Top Bottom