Natafuta mwenza (Mchaga) wa maisha. Ninaishi hapa Dar es Salaam

hujambo kijana,hebu njoo inbox tuongee naweza kukusaidia
 
Nisichangie hapa. Sitaki ushahidi, iwe wa kuona, kusikia au vyovyote
 
Kumbe hapo ni historia itakuwa fupi unahofia? Mmmmh
Hakutakuwa na kipengele cha ndoa, watasoma eti alizaliwa tar fulani, amekufa tar fulani na ukute mutu haujasoma ghaaiii hata hawaandiki
 
Hatimaye wachaga tumefikiwa 🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…