hashycool
JF-Expert Member
- Oct 2, 2010
- 6,555
- 2,837
Hahaha!Mtafutie wakumsaidia kwenye praktiko!
au nikumwagie vesi hapa hapa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha!Mtafutie wakumsaidia kwenye praktiko!
tangu jana nina ma zali kweli yaani. lazima niondoke na ka threesome mwisho wa wiki hii. heheh hapa kijijini nina hakika wataniloga. washenz wakiona umekuja na demu kapaka lipustik tu basi inakuwa balaa. khaaa! baadae kamanda bana kabla waifu hajadai divorce.kaka kloro goldeni chansi neva kam twais
hahahahahaaa!!!!! habari ake afta ofc awaz!!
Kwani Lizzy ni male au femal naona picha yake na maelezo haviendani, samahani, am just curious.Sasaa bili tunalipa..nyumba tunajenga..ada za watoto tunalipa..fimilia tunasaidia..tukianza na kutongoza nyie mtabaki na nini?
hapo hamna kuimbishwa bana. ni amri tu . bosi klorokwini akisema leo ukuje kazini bila kufuli inabidi ukubali tu.
Na ya Uchaggani..mtabaki mnang'aa macho maana mshazoea uzushi!hope we sio wa arusha
au nikumwagie vesi hapa hapa?
Utawezaaa?Au ndo unataka kujiaibisha mbele ya kadamnasi?
Anataka during na anataka kikoloni.............huyo hawezi kuwa mwenzangu bana. I have got skills.Mwenzio anataka during!
Usiogope avatar ya vibabu walla kibua..............mwaga vesi bana.sema tu namuonea noma yule jamaa mwenye avatar ya.......
Wanajamvi natafuta mwenza, me ni mama wa mtoto mmoja. Kutokana na sababu zisizozuilika nimetengana na mwenzangu. Nimekuwa mpweke kwa muda. Naomba msinibeze . Nawasilisha.
du utanifaa sana ebu ni pm
CV yako haitoshi Mum!
Kwani Lizzy ni male au femal naona picha yake na maelezo haviendani, samahani, am just curious.
ohooo kaka hilo sio gari linauzwa pm wewe kwanza
sema tu namuonea noma yule jamaa mwenye avatar ya.......
Mwenyewe nilitaka kuuliza!Wanataka watongozwe badala ya kutongoza wao!
Anataka during na anataka kikoloni.............huyo hawezi kuwa mwenzangu bana. I have got skills.
Mimi ni agent wa hiyo biashara, ukiwa tayari nitakutumia form ya kujaza details zako, ili niweze kujua partner anayekufaa, itakugarimu fee kidogo, kama uko tayari nijulishe kwa kuni PM.Wanajamvi natafuta mwenza, me ni mama wa mtoto mmoja. Kutokana na sababu zisizozuilika nimetengana na mwenzangu. Nimekuwa mpweke kwa muda. Naomba msinibeze . Nawasilisha.