Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Salaams!
Wapendwa mie natokea hapa kwa mara ya kwanza kabisa, shida yangu kubwa natafuta mchumba mwema anaemaanisha na ambae tayari alitendwa na hayupo tayari tena kutendwa! I am ready for long relationship! Umri ni kuanzia 30 mpaka 37, awe muislam itakuwa vema zaidi, kwa aliye tayari asisite kuwasiliana na mimi!
I mean it wapendwa
Jee umeshapata huyo uliokuwa wamtafuta?Tupe up date kama bado watafuta?
Jee umeshapata huyo uliokuwa wamtafuta?Tupe up date kama bado watafuta?
subiri muislamu we mamaaa ukiweka kibindoni kitu kama 45 hivi utatafuta mwenyewe hata mpagani. Ndio hapo sasa unaanza kuwa mama kubwa na sidaii am out ....demu anaye kimbilia kuolewa badala ya kujivinjali na kujuana idara zote hafai pia ana shida ya udini huyu....
Wapo ila kwenye udini ndio mmh je wewe ni SHE au HE
yupo busy na PM, atarudi...lol! haya majibu ya humu yamemkatisha tamaa mrembo, we Fidel si ufike bei?
ndo manake shost, ajibaraguza tu hapa"hit n run" kumbe hana lolote...lol
chite nipo tayari kukuaccess kwa kuwa mi pia ndio muda huu. Nipe contactsalaams!
Bado sijapata nitawapa feedback nikishapata! Nashukuru kwa ushirikiano wenu! Naona tuko pamoja
chite nipo tayari kukuaccess kwa kuwa mi pia ndio muda huu. Nipe contact
subiri muislamu we mamaaa ukiweka kibindoni kitu kama 45 hivi utatafuta mwenyewe hata mpagani. Ndio hapo sasa unaanza kuwa mama kubwa na sidai
Bacteria!
Ujue mie nina sababu zangu na kutaka muislam labda ww umenielewa vibaya lakini I know wat am doing! Usinilaum sana kwa kutafuta muislam! Najua mapenzi hayachagui dini wala kabila lakin kumbuka dini pia ni msingi imara katika mahusiano marefu kama ndoa!
Bacteria!
Ujue mie nina sababu zangu na kutaka muislam labda ww umenielewa vibaya lakini I know wat am doing! Usinilaum sana kwa kutafuta muislam! Najua mapenzi hayachagui dini wala kabila lakin kumbuka dini pia ni msingi imara katika mahusiano marefu kama ndoa!
Samahani dada Ms Chite, nina miaka 28 na ni-mkristu ambae kamwe siji kubadili dini ila mke wangu anaweza kuwa dini lolote lile, hata awe mpagani. Kama unahisi ninafaa, though out of qualifications, niambie basi. Note that uwe na + or - my age yaani, uwe 26 mpaka 30. ILA uwe tayari kupimwa kama walishaku-tigolizi, kamwe siji kuoa mwanamke aliefanya mapenzi kinyume cha maumbile, afadhari niwe kama nilivyo.
Mimi ni mcheshi, nimetendwa nilipokuwa 26. Na nilitendwa vizuri tu maana mpaka kesho linaniuma.
Kama kweli upo serious, ni PM. Ikifika tarehe 23.04.2009 hujano-pm then najuwa nimekukosa.
Mazee yaani tayari ume fall in love mpaka unaibuka na PM! du!nabadilisha goal ya 2010 kama una vigezo.......please pokea my PM
Bacteria!
Ujue mie nina sababu zangu na kutaka muislam labda ww umenielewa vibaya lakini I know wat am doing! Usinilaum sana kwa kutafuta muislam! Najua mapenzi hayachagui dini wala kabila lakin kumbuka dini pia ni msingi imara katika mahusiano marefu kama ndoa!