amesema anataka rafiki wa kike,.Mkuu wewe ni KE au ndo wale wanaopigiwa debe haki zao na US na EU?
Nimesoma tena mkuu. Kila la kheriamesema anataka rafiki wa kike,.
rudia kusoma thread yake upya
Sio kweli, hii mbona ni kawaida tu.Joachim, nahisi unamatatizo ya msongo
dunia inaenda kas kweli mkuuJoined 31 minutes ago πππ
akikupa nishtueUkipata wawili, nigawie mmoja.
ha ha ha, wewe jamaa bwana!akikupa nishtue
Kaona aibu kutumia ID yake, hi ni ishara kuwa yuko serious, JF mpen mke huyu dogo asije kuwa ka kina Zero IQJoined 31 minutes ago [emoji23][emoji23][emoji23]
πππMke mwema anatoka Kwa Bwana Muumba wa mbingu na nchi.... Apige prayers tuuKaona aibu kutumia ID yake, hi ni ishara kuwa yuko serious, JF mpen mke huyu dogo asije kuwa ka kina Zero IQ
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahaaaaKaona aibu kutumia ID yake, hi ni ishara kuwa yuko serious, JF mpen mke huyu dogo asije kuwa ka kina Zero IQ
Sent using Jamii Forums mobile app