OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Ndio Mkuu.Mwanangu bdo unatafuta rafiki wa kiume?
Ha ha haaaaa....Tunaweza tukazuga zuga wakati unaendelea kumtafuta. Vigezo vyote ulivyotaja ninavyo ila tu mie sio muoaji.
Hujapata tu mpaka muda huu tafuta wanawake wakukuwadie kuna makuwadi wazuri sana humu kama Emm6 masai dada Yna aika miss chaggamimi ni kijana wa miaka 28,nimeajiliwa mchamungu,mcheshi,mkarimu,muelewa naomba ani Pm
Nilishakukuwadia kwa nani?Hujapata tu mpaka muda huu tafuta wanawake wakukuwadie kuna makuwadi wazuri sana humu kama Emm6 masai dada Yna aika miss chagga
Nilishakukuwadia kwa nani?
ππππππNilishakukuwadia kwa nani?
Upo wapi je Namba zako zipi tuwasiliane Nina vigezo vyote
Za asubuhi Baso?
Pamoja Mkuu!Karibu PM.