Natafuta rafiki wa kike

Natafuta rafiki wa kike

Na wewe waelezee venye ulivyo ili wakusaminishe.
ie:
Mrefu
Mfupi
Mnene
Mwembamba
Waduara
Una kitambi
Una mguu at least wa kuvalia pensi
Unadrive
Unafuga mauchebe
n.k
Hizo nilizotaja ni preliminary, the rest ambaye yupo interested atapata kuzifahamu
 
Dah mwanangu uko mtaani huna washikaji adi utafute rafiki wa kiume uku mtandaoni..

Inakuaje apo..
 
Unatafuta Vizinga?
Mimi ni kijana wa miaka 25.
Natafuta rafiki wa kike kwa ajili ya kubadilishana mawazo na ikipendeza awe mchumba na hatimaye mke.

Nina elimu kiwango cha degree, na nina kazi.

Awe:
Mweupe au maji ya kunde
Umri:19-24
Mchamungu
Mpole, mtaratibu asiyependa makuu
Awe tayari kukutana, nipo Dar es Salaam

Kwa yeyote aliye tayari anitumie message (PM)
 
am here
napenda rafiki mchangamfu wa kubadili mawazo
napenda kusoma vitabu pia
napenda music kusikiliza
pm me
 
Ukiona ME anatafuta ME ati kwa kigezo cha urafiki I hv lot's of doubt kwamba una hobi ya kuogelea kwa hiyo unataka kwenda beach mkaogelee na dume lenzio! Hapa kuna mtu ataka chunguliwa JICHO
 
Habari humu ndani.

Nisiwe msemaji sana ukizingatia sio mwanasiasa.

Natafuta rafiki wa kiume.

Kwauchache nina upenzi na vitu kama ifuatavyo.

Vitabu ( Novels- laws, espionage, non-fiction, science fiction)

Meditation, Jogging, Gardening, Fosbury flops, Skiing, Travel and swimming.

Strictly man friend not otherwise.

Waiting for response.

PS: My gender is MALE.
Madam, HAMNAGA URAFIKI, STRICTLY FRIENDS kati ya mwanaume na mwanamke. Wanawake mnaweza ila mwaaume ujue anakulia taiming...sema strictly friends but sex inclusive..
 
Madam, HAMNAGA URAFIKI, STRICTLY FRIENDS kati ya mwanaume na mwanamke. Wanawake mnaweza ila mwaaume ujue anakulia taiming...sema strictly friends but sex inclusive..
Dah, kumbe mleta uzi ni male pia. Aiseeee...
Hapa kuna harufu ya tope.
 
Natafuta rafiki ambae ntawaza kufikia kwake awe anaishi dar ntakaa Kama wiki1 ama mbili ntakua Nisha pata makazi ya kuishi
 
Back
Top Bottom