Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Do you clearly understand being friends?hizo hobbies kama mi nina mishe za kunifanya bize tutashare sangapi??
Ahsante Mkuu.karibu inbo mkuu
Dar es salaamUpo mkoa gan mwanaster!!!?
Kama ni msela atakuwa anatoa ndogo eti mkuu...???Mara chache saana Mwanaumwe kutafuta rafiki wa kiume!!
Men we most to think twice
Karibu mkuu.Nimependa kimoja tu toka kwako Meditation
Nimekuelewa mkuu.Punguza kiswanglish ueleweke vzur
Ni dume huyo wewe...mabaharia bwana [emoji23]Haya sasa sisi wa mtaani tumekosa toto!! No novel,kuogelea ndo kabisa,hiyo mi fiction ndo Nini..?, travel mwisho chalinze! lbd wenye vibamia tu hiyo ndo sifa nilonayo[emoji6][emoji6]
Kumbe!!!Ni dume huyo wewe...mabaharia bwana [emoji23]
Unamaanisha nini umekosa toto? Huyu ni ME mwenzako, anataka marafiki wa kiume tu, Akili nailazimisha kuamini kw sababu tu za kubadirisha ujizi, ushauri na kula bata. Kama ni vinginevyo sujuiHaya sasa sisi wa mtaani tumekosa toto!! No novel,kuogelea ndo kabisa,hiyo mi fiction ndo Nini..?, travel mwisho chalinze! lbd wenye vibamia tu hiyo ndo sifa nilonayo😉😉
Wewe umekuja sahivi alikuwa hajasema Kama ni me ningejuaje ekt kaupdate uzi wake tenaUnamaanisha nini umekosa toto? Huyu ni ME mwenzako, anataka marafiki wa kiume tu, Akili nailazimisha kuamini kw sababu tu za kubadirisha ujizi, ushauri na kula bata. Kama ni vinginevyo sujui
No problem mkuu just level uliyofikia kwangu itakuwa na thamani na umuhimu sana.Nitakutafuta.
Meditation nilianza 2014 japo nilikuwa sina Guru ila nilijitahidi kufuata maelekezo ( for beginners).
Najua ordinary meditation.
The longest time i had meditated was consecutively three hours almost approaching close to Astral projection phase.
Poa.No problem mkuu just level uliyofikia kwangu itakuwa na thamani na umuhimu sana.
Fanya tukutane PM[emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526]
Hii ni aina flani ya Ushetani niamini mimi + YOGANitakutafuta.
Meditation nilianza 2014 japo nilikuwa sina Guru ila nilijitahidi kufuata maelekezo ( for beginners).
Najua ordinary meditation.
The longest time i had meditated was consecutively three hours almost approaching close to Astral projection phase.
Ndani ya hii meditation mkifika mbali mtajikuta .....................................No problem mkuu just level uliyofikia kwangu itakuwa na thamani na umuhimu sana.
Fanya tukutane PM[emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526]