Trubarg
JF-Expert Member
- Jan 8, 2020
- 4,388
- 7,223
Mfupi zaidi ya msumari wa zege maana Ile huwa na inch sita sijuiNdugu nch 5.3 hiki ni kipimo cha mb*** inamaan
Au ulimaanish futi
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfupi zaidi ya msumari wa zege maana Ile huwa na inch sita sijuiNdugu nch 5.3 hiki ni kipimo cha mb*** inamaan
Au ulimaanish futi
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee jifunze kusoma bila papara. Wapi nimeandika natafuta mke? Na ww inakuhusu nn? Nani kakuambia kila anayetafuta mtu yupo dar?Wanaume wa dar cjui mnakwama wap tuu yani umri wotee huo adi saiv huna mke
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee jifunze kusoma bila papara. Wapi nimeandika natafuta mke? Na ww inakuhusu nn? Nani kakuambia kila anayetafuta mtu yupo dar?
Sent using Jamii Forums mobile app
Baki na ushamba wako huko huko mikoani.Wa mikoani hatupo ivo mbona ww 'n wale wale mliomshindwa wema sepetu kumpa mimba
Sent using Jamii Forums mobile app
Hauna shangaz.Kama kichwa Cha habari hapo juu kilivyojieleza,
Age yangu ni 32
Ni mweupe
Kimo -5.3 ft
=Vigezo vya anaehitajika=
Awe muislam
Age -isizidi miaka 27
Rangi yoyote
Kabila lolote
Kimo chochote
Mtu serious ndio anatakiwa Pm
Nisisitize ni rafiki tu sio mpenz km unahitaji mpenz plz usini Pm.
Sent using Jamii Forums mobile app
tupo tatizo kuna vigezo hatujakidhiWakulima mnaitwa huku
Mkulima styne na kushika madege yetu kote huko bado unahangaishwa na vigezo???tupo tatizo kuna vigezo hatujakidhi
Vigezo vingi hadi najiuliza huyo men atakaempata atakidhi vigezo vyote?Mkulima styne na kushika madege yetu kote huko bado unahangaishwa na vigezo???