josam
JF-Expert Member
- Nov 22, 2011
- 2,252
- 1,041
AsanteGirlfriend wanted NOT girlfriend required. Kizungu Tz shida kweli kweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AsanteGirlfriend wanted NOT girlfriend required. Kizungu Tz shida kweli kweli.
Kila La kheri mkuu.Natafuta rafiki wa kike (Girl friend)
Vigezo muhimu:
1. Mwenye upendo wa dhati (siyo fedha / vitu)
2. Mcha Mungu (Kahaba hapana)
3. Mwonekano mzuri wa umbo (Chura), usoni / reception, rangi yoyote.
4. Asiwe mvuta sigara
5. Utumiaji pombe wa kiasi (asiwe mlevi)
6. Awe tayari kupima afya.
7. Umri miaka kati ya 20 -30.
8. Awe na kazi yoyote halali (siyo ya bar amid - bamedi). Kiwango cha elimu siyo hoja.
9. Awe anaishi mkoa wa Dar Es Salaam
Nitumie ujumbe kupitia PM, Karibu 🙂.
Should you need translation, please contact me via PM. Thanks
Cute B..... mweeee! Yamkini wapo ambao hilo siyo kipaumbele.Mwonekano mzuri wa sura, umbo (awe na chura)??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Waache kwenda kudanga kwa mawaziri huko waje kwako unayelia lia asiwe anapenda hela[emoji23][emoji23].
Kila la kheri
Mkuu me Niko tayariNatafuta rafiki wa kike (Girl friend)
Vigezo muhimu:
1. Mwenye upendo wa dhati (siyo fedha / vitu)
2. Mcha Mungu (Kahaba hapana)
3. Mwonekano mzuri wa umbo (Chura), usoni / reception, rangi yoyote.
4. Asiwe mvuta sigara
5. Utumiaji pombe wa kiasi (asiwe mlevi)
6. Awe tayari kupima afya.
7. Umri miaka kati ya 20 -30.
8. Awe na kazi yoyote halali (siyo ya bar amid - bamedi). Kiwango cha elimu siyo hoja.
9. Awe anaishi mkoa wa Dar Es Salaam
Nitumie ujumbe kupitia PM, Karibu 🙂.
Should you need translation, please contact me via PM. Thanks
Labda awe hana chura.Cute B..... mweeee! Yamkini wapo ambao hilo siyo kipaumbele.
Nimekosa mtaani, na mimi siyo mtu wa kujirusha. Kazi-home-kulala-kazi.Yani mtaani kwenu amna mademu au
Hahaaaaa…. Chura siraha eeeh!? DahLabda awe hana chura.
huyo jamaa na wewe nani mgeni?,mtoa mada ana miaka 7 jf,wewe mwaka 1 tu....Na ugeni wako hapa lazima upigwe tu!
Wewe chura unao wangapi?Mwonekano mzuri wa sura, umbo (awe na chura)??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Waache kwenda kudanga kwa mawaziri huko waje kwako unayelia lia asiwe anapenda hela[emoji23][emoji23].
Kila la kheri
Chura ipo?Mkuu me Niko tayari
hahaaaaaaaaa, siyo kwa makavu hayaMwonekano mzuri wa sura, umbo (awe na chura)??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Waache kwenda kudanga kwa mawaziri huko waje kwako unayelia lia asiwe anapenda hela[emoji23][emoji23].
Kila la kheri
mkuu unapenda vyura wewee, nadhani mkeo atakua na mchura huo kama bodi la mwendokasi tehtehNakazia,mwenye chura atapewa kipaumbele!
yaani wanatutenga mno,kila mleta tangazo anataka chura,sura nzuri, wenye TV zetu za kisasa tutakomaaTulio na mwonekano mbaya,hatuna kazi, nani atatupenda sasa kwa ubaguz huo