Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona za kawaida bright platnumz ? Tumefikia hatua ya kukosa wasichana/wanawake wa kukosa sifa hizo? Sidhani...Girlfriend wa ivyo lbd uka mtafte laboratory [emoji41] izo rules ziko laboratory tu
Mhhhh.... Kimeo bro...Nikupe no ya amber rutty?!
Hahhaaaaa… sentesi tamu sana '''.... Mchura huo….'' dahmkuu unapenda vyura wewee, nadhani mkeo atakua na mchura huo kama bodi la mwendokasi tehteh
hahaaa, mnapenda sana vyura, sijui ndyo vitakua vinawapikia chakula na kuwalelea watoto huko ndoani tehtehHahhaaaaa… sentesi tamu sana '''.... Mchura huo….'' dah
Hahahaa… hapana, huo ni upepo tu. Vyura vikizidi ni kero pia financial services .hahaaa, mnapenda sana vyura, sijui ndyo vitakua vinawapikia chakula na kuwalelea watoto huko ndoani tehteh
Kwa nini fedha inawekwa mbele? Nijuavyo hakuna asiye taka fedha ila mahitaji ya fedha kupindukia katika mahusiano hayo siyo mapenzi, ni biashara…. Jephta2003swali hela unayo?,kama ipo utawapata,kama huna hutawapata kama ulivyowakosa huko mtaani kwako
Chini ya miaka 25Rejea title tajwa natafuta rafiki wa kike mwenye umri chini ya miaka 25.
Sifa Mahususi.
1. Awe mwenye kujielewa na kupenda kusoma, kusali na mwenye hofu ya Mungu sawa na mimi nilivo.
2. Awe tiyali kupata attention ya kutosha kutoka kwangu (Namanisha awe mpend kutoa taarifa na kuwasiliana mara kwa mara ikiwezekana mpenda kuchati, ,Mchangamfu, Humble sawa na mimi nilivo)
3. Awe na goals sio kuja kukaa na mimi kwa sekunde mbili na kuondoka.
4. Akiwa dar itapendeza.
Karibu PM yangu kwa mawasiliano zaidi.
haahaa, huu upepo wa vyura unatuathiri tusionavyo aisee,kila sehemu chura chura aarrghHahahaa… hapana, huo ni upepo tu. Vyura vikizidi ni kero pia financial services .
John mtulivu, lakini mbona kama umeandika bila utulivu hivi, sijakuelewa kabisa, please come again huenda ukawa bahati yangu huhuume namtafuta mwembamb kama moja!mpenda ela muuza baa au asiwe!elimu kawaid co nimeona nidil na hao maan nahs watakuw weng naona weng chura xaxa nimfany utafti nchuchue kangaroo me!
[emoji39] [emoji39] kwa hako ka avatari kako unaonekana ww mzuriiiTulio na mwonekano mbaya,hatuna kazi, nani atatupenda sasa kwa ubaguz huo
Jamaa anaweza okota dodo....John mtulivu, lakini mbona kama umeandika bila utulivu hivi, sijakuelewa kabisa, please come again huenda ukawa bahati yangu huhuu
Niringeeeee[emoji39] [emoji39] kwa hako ka avatari kako unaonekana ww mzuriii
Chura wa nini tena kwani we umekua mchina wanao kula vyura?Chura ipo?