Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,267
- 29,917
Mwaaaaaahhh nakupenda sanaKatika ubora wako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwaaaaaahhh nakupenda sanaKatika ubora wako
[emoji23][emoji23][emoji23] ndio mimi ni m-baselona mwenzio, basi twende zetu tukashangilie leo[emoji39]Now we are talking
Kwa game ya jana jinsi nilivyo furaha ningekuomba tutoke tukashangilie ushindi zaidi
Kumbe we basilona mwenzangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahah ukiona "My" au "Dia" zimetawala chat ujue dhamira ni kuombwa tunda la makutano ya hips hapo (Mchebwede) ila approach inayotumika ni assimilation policy! Ukiingia king tu nawewe ukaanza kujibu kwa funga semi za "My" na "Dia" ujue tayari ni signal kwa team fisi kuwa umeshaelewa kali anaweza kusogea hatua nyengine ikiwa ku meet in person na kukuandalia mazingira ya mipasuko!
Natafuta rafiki wa kiume umri kuanzia miaka 29 kuendelea awe anapenda kuchat awe ana nitafuta mara kwa mara
Kama hupendi kuchat usinitafute maana nahitaji rafiki wa kunitoa upweke
Njoo nikufundishe[emoji6]Daaah mimi bhana shida yangu kuwa social, kwangu ni jambo gumu sana especially kwa women
Natamanigi nile kozi ya kuwa msocial lakini wapi
Utakuwa na grounds za science, ama haukuwa exposed kwa wanawake at early ages!Daaah mimi bhana shida yangu kuwa social, kwangu ni jambo gumu sana especially kwa women
Natamanigi nile kozi ya kuwa msocial lakini wapi
Upendo wa kindakindaki au wa agape?Mwaaaaaahhh nakupenda sana
[emoji23][emoji23][emoji23]Kucheka kwako ni furaha kwangu na kwa yule mnyantuzu SHIMBA YA BUYENZE
Kwenye sehemu hii binafsi nawaonea huruma sana ke yaani mara nyingi wanaume wengi wanaona mwanamke ni kwa ajili ya kufanya nae ngono Tu[emoji23][emoji23][emoji23]
Hilo jukumu nitalitimiza kwa wangapi? Lazima kuwa na mipaka ili kuishi kwa kiasi!
Kindaki ndaki mi huwa sitanii kwa kweri aitheeeeeUpendo wa kindakindaki au wa agape?
Wacha weeehhKindaki ndaki mi huwa sitanii kwa kweri aitheeeee
Huwa napenda nijimwage mwage kwa mpenz wangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa ukute utaoanza kuwapiga mitama kuanzia sasa miongoni mwao kuna mumeo humo! Kwa hio tupeane ushirikiano kizazi zaidi yangu haiishi kama penseli na yako pia inatanuka na kurudia upya wake kulingana na nyakati, tulipewa bure nasi tusinyimane!
Yale mapenz yenyewe yenyewe mahaba niuwe....Wacha weeehh
ha ha ha ha wacha kabisa, mungu fundi aisee!!! Naona bibie kaingia mwitu ghafla,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ubaya wa hivi vifaa vikishaanza kutumika tu bhasi, na shida nyingine ni Basic need
Powa aiseee nitakupa location yaani nimepata relief, kama kuwa sehemu ya mbali then ghafla unakutana na ndugu yako [emoji4][emoji23][emoji23][emoji23] ndio mimi ni m-baselona mwenzio, basi twende zetu tukashangilie leo[emoji39]
Siwezi kukupa hiyo chanceYale mapenz yenyewe yenyewe mahaba niuwe....
Je waweza nipa iyo chance maana nna kiu mwenzio......
Usiwaonee huruma maana wanafanya hiyo ngono kwa kuamua.Kwenye sehemu hii binafsi nawaonea huruma sana ke yaani mara nyingi wanaume wengi wanaona mwanamke ni kwa ajili ya kufanya nae ngono Tu
Nimejaribu chunguza nikagundua ni Basic need kwa grown-up speciesha ha ha ha wacha kabisa, mungu fundi aisee!!! Naona bibie kaingia mwitu ghafla,
Mnasemaaa? Ati ni basic need?[emoji848] Kivipi?ha ha ha ha wacha kabisa, mungu fundi aisee!!! Naona bibie kaingia mwitu ghafla,
I would love that, maana mara chache Natamanigi kuwa m social lakini daaah [emoji28]Njoo nikufundishe[emoji6]