Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio umfate pm sasa ukamuulize mfyuuuChura yupo?
[emoji16]Ndio umfate pm sasa ukamuulize mfyuuu
NaaaammKwenye sehemu hii binafsi nawaonea huruma sana ke yaani mara nyingi wanaume wengi wanaona mwanamke ni kwa ajili ya kufanya nae ngono Tu
Yap huwa sitaniiWacha weeehh
Siwezi kukupa hiyo chance
Sababu siwezi kata kiu yako
[emoji16][emoji16][emoji23]Usiseme kama mimi ndiyo ukawa hata salamu hutoi wala kuitikia. Si vizuri
Hongera29yrs tuko busy na familia zetu wala usitusumbue jamani!
Girlfriend wa ivyo lbd uka mtafte laboratory [emoji41] izo rules ziko laboratory tu
29 anayependa kuchat ? Hayupo
hongera mama ongeza speed you are near to reachNatafuta rafiki wa kiume umri kuanzia miaka 29 kuendelea awe anapenda kuchat awe ana nitafuta mara kwa mara
Kama hupendi kuchat usinitafute maana nahitaji rafiki wa kunitoa upweke
Ningekuja pm sema MIM nipo busy sana kutwa nzima natafuta PESA, labda kama utavumilia ?Natafuta rafiki wa kiume umri kuanzia miaka 29 kuendelea awe anapenda kuchat awe ana nitafuta mara kwa mara
Kama hupendi kuchat usinitafute maana nahitaji rafiki wa kunitoa upweke