Natafuta rafiki wa kike

Natafuta rafiki wa kike

😲
Mi mbona nimetulia sina makuu!
Kuna sababu zenu hiki ni kisingizio..

Hivyo kama hatujatulia kwenye 20 unafikiri kwenye 30 ndo tutatulia..? Au mmesahau usemi jasiri haachi asili😜
Unataka kusema Filbert Bayi bado anaweza kutimka mibio kama enzi zileeee?
 
watu wa kijijini matombo hatujatendewa haki hapa, mleta uzi umetunyanyapaa😊
 
Nilichogundua wenye miaka 20+ hatuna soko kwa wasaka wachumba, wacha tusubiri umri uongezeke. Noma sana! Mkuu monde arabe
 
Back
Top Bottom