Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Mtoto fala ww unaniinjoy sio😂
[emoji23][emoji23][emoji23] kila mtu apate subMtoto fala ww unaniinjoy sio[emoji23]
Pole sana ila kuna mdau amekuthaminisha na gari namba “C” za mwanzoni 😅😅😅 yani CAB, CBE, CCM imebidi nicheke yani! 😂😂😂😂😅😅😅😅😅Habari zenu ,, mimi ni msichana wa kitanzania, nina umri wa miaka 30, dini mkristo (roman Catholic) natafuta rafiki wa kiume wa kuniliwaza, nimeumizwa sana na mpenzi niliyekua naye,,najihisi mpweke ,ila sitaki kurudiana naye.
Habari zenu ,, mimi ni msichana wa kitanzania, nina umri wa miaka 30, dini mkristo (roman Catholic) natafuta rafiki wa kiume wa kuniliwaza, nimeumizwa sana na mpenzi niliyekua naye,,najihisi mpweke ,ila sitaki kurudiana naye.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]njoo pm tuyajenge utanishukuru baadae
Haya maneno matamu kama vile unajiandaa kunila.Ooh usijali mucweet [emoji39] outing iko pale pale jiandae!
Shida yako huna response katika mawasilianoHabari zenu ,, mimi ni msichana wa kitanzania, nina umri wa miaka 30, dini mkristo (roman Catholic) natafuta rafiki wa kiume wa kuniliwaza, nimeumizwa sana na mpenzi niliyekua naye,,najihisi mpweke ,ila sitaki kurudiana naye.
Hahahah kwani nikikula utakufwa?🤩 Did you ever die from being eaten.Haya maneno matamu kama vile unajiandaa kunila.
Njoo hapaHabari zenu ,, mimi ni msichana wa kitanzania, nina umri wa miaka 30, dini mkristo (roman Catholic) natafuta rafiki wa kiume wa kuniliwaza, nimeumizwa sana na mpenzi niliyekua naye,,najihisi mpweke ,ila sitaki kurudiana naye.
Fungua chuo cha hiyo lugha hapa siyo mahala pake[emoji16]Mkuu, mbona kama neno "does" humaanisha kukiri uwepo wa jambo alafu mwisho unasema not exist
napata ukakasi
Mipira yote ya kona unarushiwa weweKwahio mie ndio umeniona kijamvi cha wageni [emoji28] sio!
0768290582 seriously
Kama Upo serious Nichek namb hyooHabari zenu ,, mimi ni msichana wa kitanzania, nina umri wa miaka 30, dini mkristo (roman Catholic) natafuta rafiki wa kiume wa kuniliwaza, nimeumizxwa sana na mpenzi niliyekua naye,,najihisi mpweke ,ila sitaki kurudiana naye.
Pass za upendo tu hizi😝😝😝 im thankful!Mipira yote ya kona unarushiwa wewe