Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au Samia binti SuluuHata bibi alikuwa binti.
Yupo sahihi.
binti ni neno la kiarabu linalomaanisha mtoto wa "kike "au jinsia ya kike.
Mtoto wa kiume ni "BIN"
matumizi ya binti au bin hayana umri.
Mfano 1. juma bin salehe
2.sheila binti jumaa
Dah 😂😂 nyie watu mkishiba mnatabu sanaHakuna binti mwenye miaka 30
[emoji41]
Yaani umeona mwanetu ndio wa kutumia vitu used vyenye milage kubwa kuanzia 300,000km kwenye odometer?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani umeona mwanetu ndio wa kutumia vitu used vyenye milage kubwa kuanzia 300,000km kwenye odometer?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Yep, twice.Hahahah kwani nikikula utakufwa?[emoji2956] Did you ever die from being eaten.
Freaking hilarious🤩Yep, twice.
Kila la heri bi dada. Ila anza shughulikia namna ya kujipa furaha na kukabiliana na upweke wako. Upweke unatesa kila binadamu awe mwanaume au mwanamke ila wanawake wanateswa zaidi kuliko viumbe wengine na huo ugonjwa wa UPWEKE.Habari zenu ,, mimi ni msichana wa kitanzania, nina umri wa miaka 30, dini mkristo (roman Catholic) natafuta rafiki wa kiume wa kuniliwaza, nimeumizwa sana na mpenzi niliyekua naye,,najihisi mpweke ,ila sitaki kurudiana naye.
Humtakii mema huyo😂
Nyie ndo wafariji wakuu[emoji4]Humtakii mema huyo[emoji23]
Hahahahaha mungu ni mwemaNyie ndo wafariji wakuu[emoji4]
😂😂😂😂😂😂😂😂 kaniuza kabisa kwa chombo namba “A” hiace Punk😂Yaani umeona mwanetu ndio wa kutumia vitu used vyenye milage kubwa kuanzia 300,000km kwenye odometer?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali la msingiUna watoto wangapi ili tujipange kwa majukumu kabisa
[emoji4][emoji4]ndo ukamfariji Sasa mwenzio uyo.Hahahahaha mungu ni mwema
Sema wewe ndo mdogo... wapo wenye kumfaa, mwe subiri wako ambaye hayupo!!Daah, umri wako umeenda sana
Mkuu me nimekuzidi hata wewe umri. Lakini huyo kwa umri wa miaka 30 bado anatafuta tu mpenzi?Sema wewe ndo mdogo... wapo wenye kumfaa, mwe subiri wako ambaye hayupo!!