totlo masire
JF-Expert Member
- Nov 7, 2021
- 868
- 1,398
njoo pm tuyajenge utanishukuru baadae
Mmh huu ni mkwara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
njoo pm tuyajenge utanishukuru baadae
Kwahio mie ndio umeniona kijamvi cha wageni [emoji28] sio!
Shida yako huna response katika mawasiliano
Hutaki kujibu chochote kuhusu wewe
Sasa mtu atakuliwazaje?
Pia una ubabe sana sass ni mwanaume gani atawezana
Haipo aise sina hata ya kuombea lift mwee .We kula sambamba na mwenye uzi hapo usinihamishie kesiNazungumzia juu yako[emoji16][emoji16][emoji16]
🤣🤣🤣Nimecheka sana.We kula sambamba na mwenye uzi hapo usinihamishie kesi
Hafai eehHuyu kijana Hapana madam!!
Hao bado tupo mbona[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mvulana wa miaka 60 vipi[emoji38]
Umempata?Habari zenu ,, mimi ni msichana wa kitanzania, nina umri wa miaka 30, dini mkristo (roman Catholic) natafuta rafiki wa kiume wa kuniliwaza, nimeumizwa sana na mpenzi niliyekua naye,,najihisi mpweke ,ila sitaki kurudiana naye.
Tatizo lako una date na vijana wa rika lako! Unatakiwa ujaribu na kwa sisi vijana wa zamani ili uone tofauti. Nasubiri unitafute ili nikuliwaze. Upweke wote utaisha.....!Habari zenu ,, mimi ni msichana wa kitanzania, nina umri wa miaka 30, dini mkristo (roman Catholic) natafuta rafiki wa kiume wa kuniliwaza, nimeumizwa sana na mpenzi niliyekua naye,,najihisi mpweke ,ila sitaki kurudiana naye.
Peter nipo Kigogo Dar nichek 0656000178Habari zenu ,, mimi ni msichana wa kitanzania, nina umri wa miaka 30, dini mkristo (roman Catholic) natafuta rafiki wa kiume wa kuniliwaza, nimeumizwa sana na mpenzi niliyekua naye,,najihisi mpweke ,ila sitaki kurudiana naye.