Zanzibar2014
JF-Expert Member
- Nov 13, 2022
- 743
- 591
Natafuta restaurant ya Kiswahili London au mtu anayepika nyumbani na kuuza chakula kwa mtu moja moja.
Ahsanteni saaana.
Ahsanteni saaana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha haHabari? Sina rafiki ambaye Yuko Londoni. Uwe unanisimulia mambo ya huko😬
Unanionia wivu na rafiki yangu mpya wa London 😬Ha ha ha
Kwa kweliHabari? Sina rafiki ambaye Yuko Londoni. Uwe unanisimulia mambo ya huko😬
Vipi Kuna shida ya maji huko London? Bongo hatujaoga siku mbili.Kwa kweli
Hivi Demi anajua kuwa mpo kuitana huko?Karibu hapa kwangu Shaftesbury Avenue ule mpaka ushibe.
Zanzibar2014
Kibuti kinakuhusu....amepata wa London mwenzio anamkaribisha kula supu The Icebreaker 😂
The Icebreaker hanipendi😪😪Kibuti kinakuhusu....amepata wa London mwenzio anamkaribisha kula supu The Icebreaker 😂
kololaThe Icebreaker hanipendi😪😪
Ngoja nitafute mwingine...ntafutie basiii
Bas National Anthemkolola hapana jamani 😅😅😅
Ananionaga sina akili
Sio kweli bhana,hakuna kama wewe,u are so special and no one can replace ur position to me.The Icebreaker hanipendi😪😪
Ngoja nitafute mwingine...ntafutie basiii
Ha ha ha,taratibuuu...ngoja Dawa ikukoleeHuu uchonganishi umeuanza lini?
😀 😀
Aisee 😂😂😂😂