National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Umenena la maana sana, sema wananitupa kisomi sana hawa warembo 🙂🙂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenena la maana sana, sema wananitupa kisomi sana hawa warembo 🙂🙂
Kwahiyo ndio kusema nimeachika tayari?Ha ha ha,taratibuuu...ngoja Dawa ikukolee
Awww😍😍😍Sio kweli bhana,hakuna kama wewe,u are so special and no one can replace ur position to me.
😎
Tatizo unasema umeoa....onhoo...shauri yako...humu wote bachelorsUmenena la maana sana, sema wananitupa kisomi sana hawa warembo 🙂🙂
Sasa mbona kinyonge bhana.Awww😍😍😍
Ila dah...haya bwana
Kwa waliosoma ujerumani tumeshaunganisha dots tumeshajua hii id itatufikisha wapi.Natafuta restaurant ya Kiswahili London au mtu anayepika nyumbani na kuuza chakula kwa mtu moja moja.
Ahsanteni saaana.
London ya Uyole haha.Kibuti kinakuhusu....amepata wa London mwenzio anamkaribisha kula supu The Icebreaker [emoji23]
🫣🫣🫣 wanajua nipo single kabisa, ila wananitupa tuuu ... kama Depal Anajua kabisaaaaa namuelewa kinyamaaa na anajua sijatwaliwaTatizo unasema umeoa....onhoo...shauri yako...humu wote bachelors
Tulia tu 😂 😂 😂 mbona unamsemea
Sanaaa na anajua , kumbe alikuwa kaniweka friend zone miaka yotee 🥲🥲🥲 inaumaa sanaDepal eti unapendwa mwee
Ameniweka friend zoneSasa unafeli wapi na huyo Depal wako 😂
Achana nae bhana,je unajua kuwa avatar yake ni yeye? Shauri yako utafia jela akifia kifuani huyoMwambie nampenda pia 😂
Ushapata bwana au unatafuta vyote kwa pamojaNatafuta restaurant ya Kiswahili London au mtu anayepika nyumbani na kuuza chakula kwa mtu moja moja.
Ahsanteni saaana.
Sasa ubaya wa frend zone ni upi 😂Sanaaa na anajua , kumbe alikuwa kaniweka friend zone miaka yotee 🥲🥲🥲 inaumaa sana