Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hupewi kitu ππSasa ubaya wa frend zone ni upi π
Sanaaa,ngoja nami nibadilishe jina tena nijiite ,Dear,Daisy au Docas! Lipi zuri hapo? Huenda nikaonwa naeπππππ na anapenda D D huyoo
Afu mbaya sana....hata denda hupatiHupewi kitu ππ
Unaishia kupewa maneno tu
Jiite Diana Princess πππ itapenezaSanaaa,ngoja nami nibadilishe jina tena nijiite ,Dear,Daisy au Docas! Lipi zuri hapo? Huenda nikaonwa nae
Ushapata mchumba?Natafuta restaurant ya Kiswahili London au mtu anayepika nyumbani na kuuza chakula kwa mtu moja moja.
Ahsanteni saaana.
ππ hata kumshika kiuno na ku mkiss shingoni haipo.. unaishia vizinga tu na maneno matamu matamuAfu mbaya sana....hata denda hupati
Ha ha haa,eti ya uyole!....wewe afu mbona nakupenda hupendeki?London ya Uyole haha.
Ukiwa London huhitajiki kutafuta mchumba kupitia jf wala restaurand.
Kila kitu unamuuliza bibi yetu google.
Hii id ina shabaha mahsusi muda si mrefu jipu litapasuka
π π π sema humu sina nyota .. ninyi nyoote nimekubali muwe mashemeji na madada zangu, nimepambania sana humu makombe lakini waaapi..Ha ha haa,kashakuwa binamu
ππππ€£πππ hata kumshika kiuno na ku mkiss shingoni haipo.. unaishia vizinga tu na maneno matamu matamu
Ulikuwa unanipenda kimoyo moyo?Ha ha haa,eti ya uyole!....wewe afu mbona nakupenda hupendeki?
πππ cha muhimu lianzie tu na DSanaaa,ngoja nami nibadilishe jina tena nijiite ,Dear,Daisy au Docas! Lipi zuri hapo? Huenda nikaonwa nae
Mi Diana silipendi limekaa kindez kweliππJiite Diana Princess πππ itapeneza
Eneseketesha sana kuwekwa friend zone, huku ukiona wengine wanakula kuku kwa mrija π₯²π₯²ππππ€£π
Sawa cuteπππ cha muhimu lianzie tu na D
Anza na ya kutolea...mmezidi kukunjaEneseketesha sana kuwekwa friend zone, huku ukiona wengine wanakula kuku kwa mrija π₯²π₯²
Jiite DumazSanaaa,ngoja nami nibadilishe jina tena nijiite ,Dear,Daisy au Docas! Lipi zuri hapo? Huenda nikaonwa nae