Natafuta restaurant ya Kiswahili, London

Natafuta restaurant ya Kiswahili, London

Check Instagram kuna Wazanzibari wenzio wengi tu huko wana magenge ya urojo na misosi ya kwenu.
Na mume utapata hukohuko
 
Weee ni mwehuuuu!! Na utakufa mdomo wazi wee mzeeee sio kwa kuongea huko🤣🤣!
Yule binti ako wa 31 years kwa baba wewe mbili kasoro ana kaziiiii🤣🤣🤣🤣🤣!!
Ha ha ha,anataka amalize wanajf wote pasipo kubagua jinsi...yeye ilimradi ni tundu imetosha
 
Weee hunaga akili wewee!😁

Mashauzi yote kumbe huna nguvu za kiume hadi booster 🤔🤔😄😄😄!!
Kweli booster za kizungu, kienyeji zote zimegoma! La muhimu ni kuniombea kwa Mungu tu. Mara ya mwisho kubebena ni miaka 15 iliyopita wakati Kikwete yupo madarakani
 
Huyo demu/ mwanamke wake ana kaziiiii walai kwaile akili... au ukute wahivi kwa wapenzi wao yanakua mapoleeeee kolola
Hivi dushe lisiposimama mwanaume unaweza kuwa na sauti nyumbani? Ukiona wanandoa na mwanamke ndiyo mwenye sauti, jua dushe kwisheney! Mimi nimekutaarifu kuwa mwaka 2005 Kikwete alipoingia madarakani ndipo mara ya mwisho dushe langu kuwika. Au unataka ku prove
 
Back
Top Bottom