Natafuta restaurant ya Kiswahili, London

Natafuta restaurant ya Kiswahili, London

Hivi dushe lisiposimama mwanaume unaweza kuwa na sauti nyumbani? Ukiona wanandoa na mwanamke ndiyo mwenye sauti, jua dushe kwisheney! Mimi nimekutaarifu kuwa mwaka 2005 Kikwete alipoingia madarakani ndipo mara ya mwisho dushe langu kuwika. Au unataka ku prove
Mxxxxxxxiieewww ili nigundue nini mie!! Si una watoto na wajukuu kabisa tuliza mshipaaa😄!!
 
Mxxxxxxxiieewww ili nigundue nini mie!! Si una watoto na wajukuu kabisa tuliza mshipaaa😄!!
Kuna wakati unanishangaza. Nani amekuomba K! Mimi sishajichokea. Nishatuliza mshipa kekue
 
Id ni mpya sana.
Ndani ya masaa 20 imefungua nyuzi 2
1. Anatafutwa mchumba London
2. Restaurant London

Hii id ni kwa jambo mahsusi
Nakazia.

Labda awapate mazumbukuku. Wengi tumemstukia kitambo tunamchora tu. Yaan upo Uk ushindwe ku google kweli migahawa ya ki Afrika utegemee jf?.
 
Nakazia.

Labda awapate mazumbukuku. Wengi tumemstukia kitambo tunamchora tu. Yaan upo Uk ushindwe ku google kweli migahawa ya ki Afrika utegemee jf?.
Kekundu kekundu ............... Kekundu. kekund kekunduuu. Ohhh wajinga ndio waliwao wajingandio waliwaooooooooo.
 
Tatizo ukishindwa unaanza kuringa,ooo nina mke Nina watoto...watu wanasoma wanapotezea
😊😊😊 Humu JF hutakiwi kueleweka, kuna mda inabidi niwe nimeoa, kuna mda inabidi niwe single, kuna mda inabidi niwe mchepukaji, kuna mda inabidi niwe mwanafunzi, kuna mda inabidi niwe mtu wa totoz, kuna mda nakuwa baba mchungaji, kuna mda nakuwa kula na kulala bure, kuna mda nakuwa matawi.. Basi zafrani hutakiwi kujulikana humu 😅😅😅
 
😊😊😊 Humu JF hutakiwi kueleweka, kuna mda inabidi niwe nimeoa, kuna mda inabidi niwe single, kuna mda inabidi niwe mchepukaji, kuna mda inabidi niwe mwanafunzi, kuna mda inabidi niwe mtu wa totoz, kuna mda nakuwa baba mchungaji, kuna mda nakuwa kula na kulala bure, kuna mda nakuwa matawi.. Basi zafrani hutakiwi kujulikana humu 😅😅😅
Ha ha ha
 
Natafuta restaurant ya Kiswahili London au mtu anayepika nyumbani na kuuza chakula kwa mtu moja moja.

Ahsanteni saaana.
Yupo reading carvesharm anapika na kuderiver chakula cha kiswahili ikiwemo vitumbua chapati vyote unavyo hitaji a nakupikia
 
Yupo reading carvesharm anapika na kuderiver chakula cha kiswahili ikiwemo vitumbua chapati vyote unavyo hitaji a nakupikia
Umesema Reading?? Jamani mimi niko London?? Nipe nambari yake kama anapika vya mtu mmoja mmoja niweke order kumbwa. 🙏🙏
 
Back
Top Bottom